Wapinzani wa Chadema ndio walofanikiwa sana katika sakata lote hili,wakati sakata la kununua wabunge hao wadada walikua wagumu sana,wakachezesha akili vya kutosha wakafanikiwa kwa 100% kuwachomoa katika chama,waliopata hasara ni Chadema kupoteza viongozi na wanachama wengi kwa wakati mmoja
Just to addView attachment 1639036
Wewe ni juha. Watakuwa wabunge kupitia chama gani?
Mimi ni mwanachi na mfuasi wa CHADEMA! Au unataka uninyang'anye haki yangu ya kutoa maoni?Wewe ni nani nchi hii? hata ndani ya CDM?
Inawezekana mkuu, ila kwa hali ilivyo CHADEMA wao walishamaliza mchezo maana walishawaondoa kwenye uanachama sasa mwenye uhitaji ni wao kina Halima siyo CHADEMAPole weeee! Kwa taarifa yako vita imetangazwa, akina Halima wamedokeza tu silaha zao, CHADEMA ndio imepewa nafasi ijitafakari. Hakuna aliyeomba msamaha hapo. CC imeulizwa kiaina, are you ok tuendelee na vita? Are you ready tumalizane wenyewe kwa wenyewe?
Pia wamemuasa Mwenyekiti, wamemwambia usiwasikilize hivo vitoto, kumbuka tulipotoka na yepi tumefanya pamoja. Ondoa munkari, ondoa wahaka, ondoa jazba, think properly. We know that you know. Find a way to explain to them calmly. Talk sense into them or else....
Sasa povu linawatoka la nini?!Nyie wafukuzeni kwenye chama ila sisi tutaendelea kuwatambua kama wabunge.
Yani hilo swali kalikwepa kwa nguvu zote anadai hilo watalieleza kwenye rufaa inaelekea wanajua walichokifanya na NdugaiHajasema kwanini amejipeleka kuapishwa na majina aliyoyabeba yametoka wapi .
Katibu mkuu alisema tutoe maoni, tukatoa maoni kuwa wafukuzwe na wamefukuzwa kweli!Uliwafukuza wewe?
Sawa; Atumie utaratibu kukata rufaa!! Atasikilizwa!!Kuna watu hapa Jf waliamini na bado wanaamini Halima Mdee anaweza kwenda kinyume na Mbowe.
Siyo rahisi.
Halima Mdee hawezi kuiacha Chadema hata akikumbatiwa na nani nje ya Chadema.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Maendeleo hayana vyama!
Hapana.Tumbo lenye njaa siyo mshauri mzuri katika siasa. ππππ
Mbona kuna demokrasia kupita vyama vyote Tanzania. Wewe Umeona wapi kamati kuu inafukuza halafu unapewa fursa kukata rufaa Baraza kuu. Membe, Sofia Simba na wengine walitimuliwa na kuambiwa waombe upya.Chadema hakuna demokrasia,kuna uhuni mwingi kule,lakini this time wamepatwa
Hakuna kazi ya ubunge, ila ni huduma. Tunapata watu wa hovyo hovyo kwasababu wamefanya ubunge kama kaziWewe utawapa ugali wa kula na watoto??? Msiwadanganye wakabaki kula hewa..hawana kazi nyingine hao jomba...ooohhhh
Wewe umeligundua hilo vyema maana kwa hali ilivyo sasa wangesema wamekubali na hawakati rufaa basi ubunge ungekuwa shakani ila kwa kusema watakataa rufaa wanabuy time ndiyo maana wamegoma kuliongelea hiloKarata wameocheza kijanja sana mbumbumbu wengi hawataelewa u turn yao.
Wangekubali kujivua uanachama na kushupaza shingo maana yake wangepoteza sifa za kuwa wabunge lakini sasa hivi wanaenda kuforce ndani ya chama warejeshewe uanachama wao kisha waendelee na mchakato wa kupigania chama kiridhie matokeo.
Kwa vyovyote vile chama kingeandika barua ya kutowatambua Kyle bungeni kwa kuwavua uanachama kisha kikateua wengine wao wangekuwa looser at the same time aliyewashawishi nae angekuwa looser.
Chadema walifanya makosa makubwa Sana kuwafukuza wabunge wao bila ya kubaini ukweli wa Jambo lenyewe
Nadhani ni vema ukamu-address kama Mheshimiwa Halima Mdee na Wenzake!!Mkutano wa Halima Mdee na Wenzake 18