gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,884
- 5,923
Wapinzani wa Chadema ndio walofanikiwa sana katika sakata lote hili,wakati sakata la kununua wabunge hao wadada walikua wagumu sana,wakachezesha akili vya kutosha wakafanikiwa kwa 100% kuwachomoa katika chama,waliopata hasara ni Chadema kupoteza viongozi na wanachama wengi kwa wakati mmoja
Umetafakari ulichokiandika? Yaani unasema Chadema imepoteza kwa kufukuza wanachama wake ambao unakiri 'wamejiuza' kwa 'mahasimu' wao kisiasa?!