BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Huyu binti hawezi kujihusisha na mambo yenu ya kishetani!!
Nani amekuambia kuvuta bangi ni jambo la kishetani? unamjua huyo shetani?:mad2:
Huyu binti hawezi kujihusisha na mambo yenu ya kishetani!!
Nani amekuambia kuvuta bangi ni jambo la kishetani? unamjua huyo shetani?:mad2:
Nani amekuambia kuvuta bangi ni jambo la kishetani? unamjua huyo shetani?:mad2:
ACHENI MAMBO YA SIASA NA DEBE,ningependa kujua ameolewa?
Na je kama ameolewa anaishi vipi na mumewe?Je anafamilia?
Baada ya hapo tujadili sasa uwezo wake kiuongozi
Naomba kuuliza swali, Kaolewa jamani au anamchumba?
Huyu dada kushinda pale ni ndoto, najua wengi mtakasirika nikisema hivi ila ukweli ndio huo. Walipotaka kugawana kura na Mbatia hapo ndipo kosa limefanyika. Atachukua kidogo, Mbatia kidogo, na yule mrembo wa chama tawala atapata zaidi. Tukutane Oktoba nitawathibitishieni hili. Ila namkubali.
Mkuu umenena wazi na kweli kabisa. Wapinzani hapa ndipo wanapoudhi wapiga kura. Kwanza kila mpinzani ni lazima atizame maeneo ambayo comperative advantage kwa chama chake ipo. Kwa mantiki hii kama chama pinzani kina political comperative advantage jimbo fulani basi wakiachie ili kipambane na mmbadala wake ambao kwa sasa ni CCM. Kwa kawe ninaona Halima anafaa kuliko Mbatia hivyo Mbatia angemwacha Halima apambane na huyo msanii wa CCM na lazima angedondoka tu. Hata hivyo, bado mapema na Mbatia anaweza shauriwa ajitoe kwa sasa na kutangaza wafuasi wake wampe Halima. Kiukweli kama watabaki vijana hawa jua kabisa jimbo litachukuliwa na CCM. Upinzani ukitaka kufanikiwa ni lazima wakubali kufanya maamuzi magumu. Hii pia hata kwa wagombea urais sikuona mantiki ya kutoamua kumwachia yule ambaye tayari watu wana Imani naye na badala yake mnaweka wagombea ambao hata hawajawahi kusikika katika redio mbao na wengine ni wale wale ambao walishajaribu awamu zilizopita na kushindwa vibaya.
Lile jimbo la CCM, na wamemwaga posters kila kona, kila mti mpaka kwenye mitaro ya maji machafu. Halima hawezi kushinda.
Lile jimbo la CCM, na wamemwaga posters kila kona, kila mti mpaka kwenye mitaro ya maji machafu. Halima hawezi kushinda.
Mkuu kumwaga poster siyo kupata kura, don't underestimate Halima, nilikuwa maeneo ya Kawe nikajaribu kuwadadisi jamaa wanaouza matofali, Nikashangaa jamaa wakanitolea kadi ya kupiga kura na kusema kwamba Halima ni mtu wao na mwaka huu wanampa Jimbo, sasa hao ni wafyatua matofali kaka
Lile jimbo la CCM, na wamemwaga posters kila kona, kila mti mpaka kwenye mitaro ya maji machafu. Halima hawezi kushinda.
sijajua kwa nn wapinzani huwa hawataki kushirikianaHuyu dada kushinda pale ni ndoto, najua wengi mtakasirika nikisema hivi ila ukweli ndio huo. Walipotaka kugawana kura na Mbatia hapo ndipo kosa limefanyika. Atachukua kidogo, Mbatia kidogo, na yule mrembo wa chama tawala atapata zaidi. Tukutane Oktoba nitawathibitishieni hili. Ila namkubali.
Namuita iron lady!!! huyu mheshimiwa anayemaliza muda wake kama mbuge wa kuteuliwa, sasa anagombea kupitia chadema kwenye jimbo ambalo yule anayemalizia kaamua kulikimbia (kwa kumwogopa halima???) na kugombea kupitia nafasi ya NGOs.
kihistoria ametoka kwenye familia ya ccm lakini akaamua kutoka kivyake; akiweka 'historia' kisogoni (kwanini asiitwe bold/iron lady?)
akiwa mjengoni amefanikiwa kutoa mchango wa mawazo kwa ujasiri wa hali ya juu kiasi cha kufikia kukwaruzana na kigogo wa ccm ambaye aliamua kumpeleka 'nusu-mahakama' (kwa 6) lakini kwa ujasiri wake mhe. mdee (as she then was), ilibidi mzee wa bumbuli alazimike ku 'drop charges'
my take:
huyu mdada anafaa kupewa nafasi ya ubunge katika jimbo la uchaguzi la kawe; she is bold and yet beautiful!!!
(huo mtazamo wangu tu usijali sana!!!)