kivava
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 5,772
- 4,930
Mea culpaJedwali la nini, kivava...Let me ask you one more thing comrade kivava: Je, angekuwa ni baba yako ameandika andiko lile nililoandika mimi, ungeweza kumwandikia kuwa "tupe jedwali tujue unasema ukweli na sio kupumua hewa chafu". Nimekuuliza hivi kwa kuwa wengi humu JF wanatumia ID ambazo hazijulikani na wana heshima yao katika jamii hii. Wanaandika humu ndani ya JF kwa sababu nyingi na moja ya hizo ni kubadilishana mawazo, kuelimishana na kupashana habari. Ila inaelekea watu kama wewe kivava mnachukulia JF kama sehemu ya mzaha, matusi, kejeli na kudhalilisha wengine...ushauri wangu kwako ni kuwa ikiwa hukubaliani na hoja ya mwenzio huna sababu ya kutukana wala kumdhalilisha au kumkejeli. Jenga hoja yako dhidi yake kama sababu na mkakati wa kushinda mjadala kwa hoja na siyo matusi.
Mea culpa
Mea culpa
Samahani,huwa napandishwa munkari na uongo WA maccm
Hata hivyo viti maalum Chadema safari hii vimetawanywa nchi nzima na wanaouhusiano na viongozi Ni wawili tuu na waKaskazini hawazidi 10%