Halima Bulembo: Bunge si lazima kuonekana live

Halima Bulembo: Bunge si lazima kuonekana live

mawazo kama baba yetu hutaki watu wawe na TV huku kwako unayo! Information is power! we need be informed so to become powerful as a nation!

Acheni blabla na kulirudisha nyuma taifa kwa hoja mfu
Kuonekana kwenye tv ndiyo hoja hai?
 
CCM imekosa wajenga hoja. Kwasababu dhamira yao sio njema. Akili ya Lumumba hii..ndani ya
Ccm kuna majipu mengi sana
 
Sasa ukiliona live kwenye TV furaha yako itakuwa nini? Mimi nafikiri nikimwona mbunge wangu jimboni anahimiza maendeleo ni afya zaidi kwasababu nitajua kuwa anawajibika badala ya kuonyesha sura zenye kutoka mapovu bungeni!
kasome civics utajua kazi za mbunge, kazi ya mbunge ni kuongea kuishauri serikali na kutunga sheria hayo mengine ziada!

inaonyesha kama uko serious au unatania kuwa hujui kazi za wqbunge ni nini, kama kazi zao ni kuongea basi TV ndio inawahusu zaidi, kasome tena civics kama hikuelewa!
 
yule wa ukawa aliyesema rais alipe kodi aliliaibisha taifa.
 
yule wa ukawa aliyesema rais alipe kodi aliliaibisha taifa.
Huyo hana kosa. Tatizo mnaogopa maoni tofauti. Wote ni NDIOOO na kushangilia kila kilichotoka kwa Mzee. Uzuri wa unafiki ni kuwa mtachokana muda si mrefu
 
Shit....... what a beautiful smile.............
 
Ukweli....wabunge wetu wa CCM wanaendeshwa na wabunge wa upinzani...na siku wabunge wetu hao wakiweza kusimama kwa miguu yao hakuna nchi itakayotusogelea kwa maendeleo.
 
Anayelipia wimbo ndiye anaye chagua wimbo,alivyoupata ubunge anajua,hana sababu ya kutofautiana na babake, ccm hakuna undugu wala kubebana.hata Zito hakumbeba muhonga luhwanya.hivyo ana haki ya kumsema tindu lissu.
 
Ubunge wa kuupata kwa shukrani ni shida sana yaani akili yake tayari imeshasinyaa
 
Kaka Mbunge anahimiza maendeleo katika jimbo lake la uchaguzi kwa kuwahimiza wananchi wake kushiriki katika shughuli za maendeleo walizoainisha kwa kipindi tajwa.Mbunge anafahamu kabisa ni miradi gani itatekelezwa katika jimbo lake kwavile yeye anahudhuria vikao vikao vyote kuanzia wilaya hadi mkoa! Hayo maendeleo hayawezi kukwama kwasababu tu bunge halionyeshwi live!

Je wananchi watapimaje kwamba mbuge wao hakuwasemea kero zao wakati wamenyimwa haki ya kumwangalia anavyoyasema? uoni itakua ngumu kwa mwananchi kumwajibisha mbunge kwenye sanduku la kura iwapo atajitetea kua amefanya kazi yake lakini serikali ndo hawakuwajibika?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom