Uzuri wa sura si uzuri wa AkiliDah...
Katoa wazo lake km katiba unavoruhusu uhuru wa maoni..
Otherway,
Mzuuuuuri uyu bint
Uzuri wa sura si uzuri wa AkiliDah...
Katoa wazo lake km katiba unavoruhusu uhuru wa maoni..
Otherway,
Mzuuuuuri uyu bint
Hicho kibinti cha Bulembo hakina tofauti na Agnes Marwa vyote vimkariri Akili za Nape.Kwa mtizamo wa huyu dada bunge live ni kutafuta kujulikana kwa wabunge,hafikirii upande wa pili kuwa ni kuwapa fursa wananchi kujua mpango wa matumizi ya kodi zao?Wat a poor thinking from member of parliament!shame
Elimu yetu imekuaje lakini?Huyu ni mojawapo ya wabunge wanaojielewa! Tatizo kubwa la wananchi ni afya, makazi bora,elimu, miundombinu, maji,utatuzi wa migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji na siyo kuangalia tv kama haitaleta suluhisho kwa matatizo yetu!