Siasa si uadui: Dk. Tulia amtembelea mama wa Halima Mdee aliyelazwa hospitali

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,002
20,662
Siasa haziondoi utu wetu. Hivi karibuni Mbowe aliwaalika wabunge hao maarufu sana katila hafla ya kuchangia ujenzi wa kanisa.
---

1706729452366.png
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson, leo Januari 31, 2024 amemtembelea na kumjulia hali, Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalumu, Halima Mdee.

Dk Tulia ambaye pia ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) amemtembelea mama huyo aliyelazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa jijini Dodoma kwa matibabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom