Kwetu Masoko
Senior Member
- Mar 16, 2016
- 122
- 32
Na ubunge wake wa mwe
Na ubunge wake wa kepewa mezani huo, hatutegemei kwamba atajadili suala la maana kuhusu mstakabali wa nchiMbunge wa Viti Maalum (CCM), Halima Bulembo anasema anaunga mkono bunge kutorushwa live na kusema kurushwa live bunge kuna faida kwa wabunge wakongwe pekee.
"Nashangaa kumuona Mbunge kama Mbowe mwenye umaarufu mkubwa anataka aonekane 'live' bungeni, wakati hata mdogo wangu wa miaka sita anamfuhamu vizuri, wabunge vijana ndiyo waliopaswa kulalamikia hili,"
Kama mwananchi wa kawaida unapenda kumwambia nini mbunge huyu![]()
chanzo EAST AFRICA RADIO
