Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,442
- 4,392
Vijana wote wa CCM waliofika vyuo vikuu,kwa mfano,hutoka na GPA za chini ya 2.5...ndo maana kwao siasa za kuropoka hovyohovyo tu ni easier option!Binti wa miaka 24 halafu wa CCM utafikiri ataklua na uwezo gani wa kufikiri? Halafu eti Chadema kuna undugu, hivi huu wa CCM sio undugu? Hahahahahaha nimekubali kweli CCM ni Slow learners wa makusudi