Halima Bulembo: Bunge si lazima kuonekana live

Halima Bulembo: Bunge si lazima kuonekana live

Kwani BABA ake ana elimu gani?
Hawa tunawatumia km Mpango wa kando joh
 
Sasa waziri wake na kada nape hana sababu ya msingi kwann bunge lisionyweshe sasa unategemea nn kwa kibinti kama hichi kilichopewa ubunge.
 
Dada halima hata wewe? Kweli suala sio kuonekana Bungeni dunia nzima mabunge shughuli zake ni " Live" ni serikali hii ndio inatushangaza walipakodi
 
Sema tuuuuuu baaasi ni kitu ambacho nikikisema natonekana nina nongwa,
Hivi haya maviti maaalumu yanaliingizia hasara shilingi ngapi kwa mwaka,,????

Tubatafuta majipu huku tumekalia MAKANSA sasa sijui
Najua nafasi ya viti maalumu iliwekwa kwa nia njema,, mi naona kubwa zaidi ni kuhakikisha kua awekwe ili afanye vizuri wanainchi walomunyima kura wamuone ili awamu inayofuata achukue kiti rasmi.

Lakini sasa zimekua mzigo kwa taifa,, kwani sijawahi kuona mchango wowote uliotoka kwenye nafasi hii ya kuteuliwa zaidi ya kuongeza neno ndiooooooooo hata kwa upuuuzi wa aliyemteua.

Wanakuja kupunguza kasi ya kujadili vitu vya msingi kwani wao hua huishia tuu kusifia hata kama wanajua sio sawa, na nadhani wao huenda bungeni kupiga kampeni za kupata nafasi hii ya viti vya kuteuliwa na kuingiza serikali hasara kubwa,,


Ikiwezekana, japo najua kua ni ngumu, halitumbuliki kwani sio jipu bali ni kansa,, wacha litutafune mpaka baaaasi

Ukiwa unajua unachokifanya huwezi simama na kisura chako kizuri et unasapoti bunge lisirushwe,, si ni upuuuzi huo??
 
Uyo ni msomi anaejali maslahi yake siwez kumpingaaa maaan hata icho cheo alocho pewa sidhani kama anajua maanake
 
kwa kauli hii kigoma huwez kurejeshwa bungeni tena ,lkn kwa bukoba nikawaida mfano tibaijuka. Haijalishi chama Enzi zle Azim premji alipoomba upanuz wa magereza which is positive lkn alpishana vpaumbele na wananchi wake hivyohivyo kafulila,mkosamali,chiza nk. Wito watanzania wenzangu mbuge is a miniature society that he|she comes from. Jamani tuchague mbunge angalau anayeweza kuwasilisha Yale yanayofanana anaowawakilisha ,hii ni aibu ya mwaka, mie siamini au tumeletewa taarifa nusu , eti wabunge wakongwe au alimanisha vice versa. Ngoja niendelee kugrade tumbaku ya Mzee tukauze kwa bei aliyopanga mnunuzi
 
...intellectual myopia....dhima ya kuonyesha bunge live ni ipi?naanza kupata shaka kama wabunge wote wako na common understanding juu ya kwanini kuwe na matangazo ya live...kazi ipo!
 
Uzi wako umekaa kimawazo mgando mgando tu
Wakati binadamu wa umri wako China au north Korea alikwisha au anahangaika kugundua walau gari LA mtoto we bado upon unasubiri kusikia Halima Bulembo (24) aseme sentensi mia then we uchukue sentensi mbili uunge bundle uje upost uzi humu JF
Haya mambo yapo TZ tu
 
Hakika sitakuwa nimeutendea haki moyo wangu kama sitacomment hii thread,venye vile alivyoumbika naomba ni-declare interest kuwa naunga mkono hoja yake
 
Bure kabisa badala ya kuhoji wale vikongwe wanaouwawa kule Geita na Rorya kwa tuhuma za Uchawi eti kanaunga mkono Bunge kutokuonyeshwa moja kwa moja ,jenga hoja Bint Bulembo muda huu ulitakiwa uwe shule kuongeza maaarifa maana wewe ndio msomi kwenu alafu unachangia pumba kama hizo.
 
....mtoto aliyeingia bungeni kwa mgongo wa baba yake unategemea atoe mchango gani zaidi ya mipasho na personalization of issues?...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom