Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Hii nchi inakoelekea ni kubaya sana
Hawa polisi wanachofanya sasa hv ni kutengeneza mambo yao tu!Najaribu tu kufikiri kuwa kama huyu Lwakatare aliamua kuiuza CDM inawezekana vp katika hali ya Afya kama hii!CCM katika hili mnafahamu mnachofanya na mwisho wa siku kila jambo litadhihiri!Pimbi nyie!
Yan ningekuchapa kibao kikali sanaaa, ungekuwa karibu yangu.... she**i kabisaaakama alikuwa anajua anaumwa kwanini anapanga mauaji! acha polisi waendelee kufanya kazi yao!
kadatajeeeeee! side effects za urojo!
Hii nchi inakoelekea ni kubaya sana
Masanilo my brother
Nawashauri kuwa makini sana na LWakatare.......... msije mkaingia chaka
yes it is not fair kunyimwa haki, lakini issue yake inabeba zaidi ya misalaba
kuna walionyimwa haki na jamii ikakaa kimya, hakuna uhakika wa 100% kwamba jamaa ni clean, his history is betraying him and the "system" has really done his homework in protecting the ruling community
Just handle this matter with care
Masanilo my brother
Nawashauri kuwa makini sana na LWakatare.......... msije mkaingia chaka
yes it is not fair kunyimwa haki, lakini issue yake inabeba zaidi ya misalaba
kuna walionyimwa haki na jamii ikakaa kimya, hakuna uhakika wa 100% kwamba jamaa ni clean, his history is betraying him and the "system" has really done his homework in protecting the ruling community
Just handle this matter with care
Masanilo my brother
Nawashauri kuwa makini sana na LWakatare.......... msije mkaingia chaka
yes it is not fair kunyimwa haki, lakini issue yake inabeba zaidi ya misalaba
kuna walionyimwa haki na jamii ikakaa kimya, hakuna uhakika wa 100% kwamba jamaa ni clean, his history is betraying him and the "system" has really done his homework in protecting the ruling community
Just handle this matter with care
Kweli mtu anakuwa chini ya polisi kwa masaa karibu 72 bila kuwa charged na watu wanasema wanaheshimu 'utawala wa sheria'?
Kama Polisi wangekuwa na ushahidi wa kutosha kutengeneza kesi wangeshamfikisha mahakamani kwa mara ya kwanza ili awe charged. Sasa hivi inaonekana hawatafuti ukweli tena bali wanatafuta namna ya kuwa-tie watu wengine kwenye huu uzi ambao wanaamini wanao.
Masanilo my brother
Nawashauri kuwa makini sana na LWakatare.......... msije mkaingia chaka
yes it is not fair kunyimwa haki, lakini issue yake inabeba zaidi ya misalaba
kuna walionyimwa haki na jamii ikakaa kimya, hakuna uhakika wa 100% kwamba jamaa ni clean, his history is betraying him and the "system" has really done his homework in protecting the ruling community
Just handle this matter with care
Hebu fafanua vizuri.........wengine akili zetu nyembamba bado hazijajua methali
Kweli mtu anakuwa chini ya polisi kwa masaa karibu 72 bila kuwa charged na watu wanasema wanaheshimu 'utawala wa sheria'?
Kama Polisi wangekuwa na ushahidi wa kutosha kutengeneza kesi wangeshamfikisha mahakamani kwa mara ya kwanza ili awe charged. Sasa hivi inaonekana hawatafuti ukweli tena bali wanatafuta namna ya kuwa-tie watu wengine kwenye huu uzi ambao wanaamini wanao.
Kweli mtu anakuwa chini ya polisi kwa masaa karibu 72 bila kuwa charged na watu wanasema wanaheshimu 'utawala wa sheria'?
Kama Polisi wangekuwa na ushahidi wa kutosha kutengeneza kesi wangeshamfikisha mahakamani kwa mara ya kwanza ili awe charged. Sasa hivi inaonekana hawatafuti ukweli tena bali wanatafuta namna ya kuwa-tie watu wengine kwenye huu uzi ambao wanaamini wanao.