cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
mama kadogoo sabal kheri!! nimekumisijeeee?? kuna mambo yanatia hasiraaaaaa, hao polisi wa ccm wameniharibia jumamosi yangu!! laana khum!Nakubaliana na wewe mkuu......ni lazima viongozi wa chama waseme chochote......vinginevyo tutampoteza kamanda...... Nchi hii bana daaa!!! Tutaandamana kweli