Hali ya Wilfred Lwakatare yazidi Kudorora

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,493
Taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika

Hali ya Kisukari ya Kamanda Lwakatare ni mbaya vipimo ya muda mfupi uliopita vimesomeka 19 mmol/ polisi wanadai Dr wao amempima imeonyesha ni 15mmol/l. Yote hivyo ni vipimo bila kujali accuracy. Kibaya zaidi wamewakatalia mawakili wetu kumpeleka hospital. Hii ni mbaya sana.

Kwa wale walio kwenye fani ya tabibu wanajua nini kinaweza mtokea kamanda Lwakatare. Hii inaweza sababisha baadhi ya viungo muhimu kushindwa kufanya kazi zake na kuharibika. Blurred vision kupelekea upofu, blood pressure na matatizo kwenye moyo, haya ni baadhi ya madhara ya hyperglycaemia Kiwango cha juu cha sukari mwilini.

Chonde chonde Polisi muwahisheni kamanda hospital kabla hali haijawa mbaya.
 
hawa majamaa vp? wanazidi kunifanya niipende CHADEMA! leo nimebatiza watu wanne! kulikuwa na mjomba wangu alikuwa Maccm damu! ananijua kuwa mimi nichadema! basi mchana kanipigia simu anasema "anko ukija tena kanyenye tuletee zile combati zenu na kadi mimi na shangzi yako"

viva CHADEMA!
 
wamejibatiza kuwa ma-zirail!! wamesahau kuwa siku ya kiama hata zirail atatakiwa kukabidhi roho yake!! i hate ccm!! ugua pole wilfred!
 
Wafanye watakavyo ili tuongeze ushahidi wa kuyapeleka the Hegi,manyang'au kabisa...
 
Taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika

Hali ya Kisukari ya Kamanda Lwakatare ni mbaya vipimo ya muda mfupi uliopita vimesomeka 19 mmol/ polisi wanadai Dr wao amempima imeonyesha ni 15mmol/l. Yote hivyo ni vipimo bila kujali accuracy. Kibaya zaidi wamewakatalia mawakili wetu kumpeleka hospital. Hii ni mbaya sana.

Kwa wale walio kwenye fani ya tabibu wanajua nini kinaweza mtokea kamanda Lwakatare. Hii inaweza sababisha baadhi ya viungo muhimu kushindwa kufanya kazi zake na kuharibika. Blurred vision kupelekea upofu, blood pressure na matatizo kwenye moyo, haya ni baadhi ya madhara ya hyperglycaemia Kiwango cha juu cha sukari mwilini.

Chonde chonde PolisiCCM muwahisheni kamanda hospital kabla hali haijawa mbaya.

Washauri wanasheria wake wapeleke shitaka mahakamani la mteja wao kutotendewa haki.

Matamko hayatamsaidia Lwakatare.

Wale kina Bisimba wana taarifa hii?

Jamii yote inapaswa kusimama against this...
 
Mi naona ni janja ya PoliCCM kummaliza kamanda kwa kusingizia sukari.
Wataiweka wapi aibu yao ya kughushi video clip km sio kupoteza ushahid kwa kumnyamazisha.
They have been here before,
And they won't hesitate to replay the game.
 
Mwenzenu mahaba na chadema yananizidi!nashindwa kusubiri mwaka ujao kabla sijaondoa wenyeviti wote wa magamba na kuweka makamanda!2015 naiona itakavyokuwa njema kwa chadema.viva chadema
 
Hivi sheria inasemaje kuhusu dhamana? Mtu anaweza kushikiliwa na polisi kwa muda gani bila ya kufunguliwa mashtaka? Mfano Lwakare ameshikiliwa na polisi kwa zaidi ya siku mbili sasa, na polisi hawajamfungulia mashtaka au kumuachia kwa dhamana. Kisheria hii ikoje?

Kuhusu hali yake ya afya, hapa nadhani wanafamilia ya huyu bwana wangeanza kujinoa -kisheria. Hiyo level ya sukari ni mbaya na lolote linaweza kutokea kama Polisi wataamua kuendelea na ubabe.

Raia yeyote yule - hata mualifu- ana haki zake za msingi. Matitabu, tena kwa ugonjwa ambao mtuhumiwa amekuwa nao muda mrefu ni haki ya msingi kabisa, na polisi walitakuwa kulitambua hili mapema.
 
Kweli mtu anakuwa chini ya polisi kwa masaa karibu 72 bila kuwa charged na watu wanasema wanaheshimu 'utawala wa sheria'?

Kama Polisi wangekuwa na ushahidi wa kutosha kutengeneza kesi wangeshamfikisha mahakamani kwa mara ya kwanza ili awe charged. Sasa hivi inaonekana hawatafuti ukweli tena bali wanatafuta namna ya kuwa-tie watu wengine kwenye huu uzi ambao wanaamini wanao.
 
Kweli mtu anakuwa chini ya polisi kwa masaa karibu 72 bila kuwa charged na watu wanasema wanaheshimu 'utawala wa sheria'? Kama Polisi wangekuwa na ushahidi wa kutosha kutengeneza kesi wangeshamfikisha mahakamani kwa mara ya kwanza ili awe charged. Sasa hivi inaonekana hawatafuti ukweli tena bali wanatafuta namna ya kuwa-tie watu wengine kwenye huu uzi ambao wanaamini wanao.
Utawala wa sheria my foot... Hii nchi kwa kweli ina ombwe kubwa sana la uongozi. nadhani waTZ tujifunze next time kutochagua kiongozi kwa kuangalia sura na tabasamu lake. Imetosha jamani.. Uhuni unaofanywa na serikali tuliyonayo sasa hivi kwa hakika haujawahi kutokea toka nchi hii imepata uhuru. Any way, waache waendelee na uhuni huu kwani inawezekana ni mipango ya Mungu kututoa kwenye utawala wa kidhalimu na usio na uwezo wa kuongoza.
 
Taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika

Hali ya Kisukari ya Kamanda Lwakatare ni mbaya vipimo ya muda mfupi uliopita vimesomeka 19 mmol/ polisi wanadai Dr wao amempima imeonyesha ni 15 mmol/l. Yote hivyo ni vipimo bila kujali accuracy. Kibaya zaidi wamewakatalia mawakili wetu kumpeleka hospital. Hii ni mbaya sana.

Kwa wale walio kwenye fani ya tabibu wanajua nini kinaweza mtokea kamanda Lwakatare. Hii inaweza sababisha baadhi ya viungo muhimu kushindwa kufanya kazi zake na kuharibika. Blurred vision kupelekea upofu, blood pressure na matatizo kwenye moyo, haya ni baadhi ya madhara ya hyperglycaemia Kiwango cha juu cha sukari mwilini.

Chonde chonde PolisiCCM muwahisheni kamanda hospital kabla hali haijawa mbaya.

Ndio wanachotaka hao polisi. Wanataka msiba utokee cdm, wakati huo huo cdm ibaki na kesi ya kupanga mauaji ya watu
 
kama alikuwa anajua anaumwa kwanini anapanga mauaji! acha polisi waendelee kufanya kazi yao!
nakuonea huruma unavyojitia wazimu na kujitoa ufahamu!! huna utu unawaramba masaburi mabosi wako! ni bora kuwa maiti kuliko mtumwa wa ccm! kama ni mwanaume namhurumia mkeo, na kama wewe ni mwanamke hufai kuwa mmoja wetu!! shame on u!
 
Back
Top Bottom