Fundi Kushona auawa baada ya kumsaidia mtuhumiwa chakula

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja mkazi wa kijiji cha Kwalakamu wilayani Rombo kwa madai ya kuhusika na mauaji ya fundi nguo, mkazi wa Kijiji cha Ngaseni, Anord Tarimo (30).

Agosti 29, mwaka huu fundi huyo, anadaiwa kucharangwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake na mwanaume huyo, muda mfupi baada ya kwenda kazini kwake na kumwomba amnunulie chakula kwa kuwa hali yake ya kipato ilikuwa mbaya.

Inaelezwa kuwa, baada ya fundi huyo kumkubalia kwenda kumnunulia chakula ilipofika jioni mwanaume huyo alimwomba ampeleke nyumbani kwake kuwa alikuwa na usafiri wa pikipiki na alipomfikisha nyumbani kwake mwanaume huyo aliingia ndani na kuchukua panga na kuanza kumshambulia na baada ya kutekeleza mauaji hayo alitoroka na pikipiki yake.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa alithibitisha kutokea kwa mauaji hayo ambapo amesema baada Jeshi la Polisi kupata taarifa za tukio hilo lilifika haraka eneo la tukio na kufanya ufuatiliaji uliowezesha kumakamata mtuhumiwa huyo akiwa na baadhi ya vielelezo ikiwemo pikipiki ya marehemu.

Kamanda Maigwa amesema mtuhumiwa huyo pia alimjeruhi mtu mwingine, wakati akijaribu kutoa msaada kwa kumkata na kitu chenye ncha kali sehemu ya kichwani na baadaye kutokomea na pikipiki ya marehemu.

Amesema chanzo cha mauaji hayo bado kinachunguzwa na kwamba mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani tararibu za kisheria ziatakapokamilika kwa hatua zaidi.

"Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linatoa rai kwa wananchi kuwa halitasita kuwachukulia hatua za kisheria watu wote wanaojihusisha na matukio ya kihalifu kama haya na mengine," amesema Kamanda Maigwa.

Akisimulia tukio hilo, Remmy Shirima, mkazi wa Usseri amesema wakati kijana huyo akiwa kazini kwake akiendelea na shughuli za ufundi mtuhumiwa huyo alimfuata kazini kwake na kumwomba amnunulie chakula kwa kuwa hali yake ya kipato sio nzuri na kijana huyo akamkubalia na kwenda kumnunulia chakula.

"Mtuhumiwa alimwendea huyo kijana ambaye kwasasa ni marehemu na kumwomba amnunulie chakula kwa madai kuwa hali yake ni mbaya na alikuwa hana fedha mfukoni, huyu kijana akaenda naye mahali kwenda kumnunulia chakula, wakala wakamaliza, huyu mtuhumiwa akamwomba ampeleke nyumbani kwasababu alikuwa na usafiri na wakati huo usiku umeshaingia," amesema.

"Alimchukua na pikipiki yake na kumpeleka nyumbani, walipofika nyumbani mtuhumiwa aliingia ndani akatoka na panga ndipo alipoanza kumcharanga mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake," ameeleza.

"Marehemu alijitahidi kupiga yowe wakati akicharangwa mapanga, bahati nzuri kukawa kuna majirani wametoka kumsaidia, wakati hawa majirani nao wanamsaidia wakajeruhiwa na huyu mtuhumiwa, marehemu alipata mwanya akatoroka, alikimbia mita 100 damu zilikuwa zinamwagika sana na alidondoka na kufariki," amesema.

MWANANCHI
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja mkazi wa kijiji cha Kwalakamu wilayani Rombo kwa madai ya kuhusika na mauaji ya fundi nguo, mkazi wa Kijiji cha Ngaseni, Anord Tarimo (30).

Agosti 29, mwaka huu fundi huyo, anadaiwa kucharangwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake na mwanaume huyo, muda mfupi baada ya kwenda kazini kwake na kumwomba amnunulie chakula kwa kuwa hali yake ya kipato ilikuwa mbaya.

Inaelezwa kuwa, baada ya fundi huyo kumkubalia kwenda kumnunulia chakula ilipofika jioni mwanaume huyo alimwomba ampeleke nyumbani kwake kuwa alikuwa na usafiri wa pikipiki na alipomfikisha nyumbani kwake mwanaume huyo aliingia ndani na kuchukua panga na kuanza kumshambulia na baada ya kutekeleza mauaji hayo alitoroka na pikipiki yake.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa alithibitisha kutokea kwa mauaji hayo ambapo amesema baada Jeshi la Polisi kupata taarifa za tukio hilo lilifika haraka eneo la tukio na kufanya ufuatiliaji uliowezesha kumakamata mtuhumiwa huyo akiwa na baadhi ya vielelezo ikiwemo pikipiki ya marehemu.

Kamanda Maigwa amesema mtuhumiwa huyo pia alimjeruhi mtu mwingine, wakati akijaribu kutoa msaada kwa kumkata na kitu chenye ncha kali sehemu ya kichwani na baadaye kutokomea na pikipiki ya marehemu.

Amesema chanzo cha mauaji hayo bado kinachunguzwa na kwamba mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani tararibu za kisheria ziatakapokamilika kwa hatua zaidi.

"Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linatoa rai kwa wananchi kuwa halitasita kuwachukulia hatua za kisheria watu wote wanaojihusisha na matukio ya kihalifu kama haya na mengine," amesema Kamanda Maigwa.

Akisimulia tukio hilo, Remmy Shirima, mkazi wa Usseri amesema wakati kijana huyo akiwa kazini kwake akiendelea na shughuli za ufundi mtuhumiwa huyo alimfuata kazini kwake na kumwomba amnunulie chakula kwa kuwa hali yake ya kipato sio nzuri na kijana huyo akamkubalia na kwenda kumnunulia chakula.

"Mtuhumiwa alimwendea huyo kijana ambaye kwasasa ni marehemu na kumwomba amnunulie chakula kwa madai kuwa hali yake ni mbaya na alikuwa hana fedha mfukoni, huyu kijana akaenda naye mahali kwenda kumnunulia chakula, wakala wakamaliza, huyu mtuhumiwa akamwomba ampeleke nyumbani kwasababu alikuwa na usafiri na wakati huo usiku umeshaingia," amesema.

"Alimchukua na pikipiki yake na kumpeleka nyumbani, walipofika nyumbani mtuhumiwa aliingia ndani akatoka na panga ndipo alipoanza kumcharanga mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake," ameeleza.

"Marehemu alijitahidi kupiga yowe wakati akicharangwa mapanga, bahati nzuri kukawa kuna majirani wametoka kumsaidia, wakati hawa majirani nao wanamsaidia wakajeruhiwa na huyu mtuhumiwa, marehemu alipata mwanya akatoroka, alikimbia mita 100 damu zilikuwa zinamwagika sana na alidondoka na kufariki," amesema.

MWANANCHI
marehemu alipata mwanya akatoroka, alikimbia mita 100 damu zilikuwa zinamwagika sana na alidondoka na kufariki,"
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja mkazi wa kijiji cha Kwalakamu wilayani Rombo kwa madai ya kuhusika na mauaji ya fundi nguo, mkazi wa Kijiji cha Ngaseni, Anord Tarimo (30).

Agosti 29, mwaka huu fundi huyo, anadaiwa kucharangwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake na mwanaume huyo, muda mfupi baada ya kwenda kazini kwake na kumwomba amnunulie chakula kwa kuwa hali yake ya kipato ilikuwa mbaya.

Inaelezwa kuwa, baada ya fundi huyo kumkubalia kwenda kumnunulia chakula ilipofika jioni mwanaume huyo alimwomba ampeleke nyumbani kwake kuwa alikuwa na usafiri wa pikipiki na alipomfikisha nyumbani kwake mwanaume huyo aliingia ndani na kuchukua panga na kuanza kumshambulia na baada ya kutekeleza mauaji hayo alitoroka na pikipiki yake.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa alithibitisha kutokea kwa mauaji hayo ambapo amesema baada Jeshi la Polisi kupata taarifa za tukio hilo lilifika haraka eneo la tukio na kufanya ufuatiliaji uliowezesha kumakamata mtuhumiwa huyo akiwa na baadhi ya vielelezo ikiwemo pikipiki ya marehemu.

Kamanda Maigwa amesema mtuhumiwa huyo pia alimjeruhi mtu mwingine, wakati akijaribu kutoa msaada kwa kumkata na kitu chenye ncha kali sehemu ya kichwani na baadaye kutokomea na pikipiki ya marehemu.

Amesema chanzo cha mauaji hayo bado kinachunguzwa na kwamba mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani tararibu za kisheria ziatakapokamilika kwa hatua zaidi.

"Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linatoa rai kwa wananchi kuwa halitasita kuwachukulia hatua za kisheria watu wote wanaojihusisha na matukio ya kihalifu kama haya na mengine," amesema Kamanda Maigwa.

Akisimulia tukio hilo, Remmy Shirima, mkazi wa Usseri amesema wakati kijana huyo akiwa kazini kwake akiendelea na shughuli za ufundi mtuhumiwa huyo alimfuata kazini kwake na kumwomba amnunulie chakula kwa kuwa hali yake ya kipato sio nzuri na kijana huyo akamkubalia na kwenda kumnunulia chakula.

"Mtuhumiwa alimwendea huyo kijana ambaye kwasasa ni marehemu na kumwomba amnunulie chakula kwa madai kuwa hali yake ni mbaya na alikuwa hana fedha mfukoni, huyu kijana akaenda naye mahali kwenda kumnunulia chakula, wakala wakamaliza, huyu mtuhumiwa akamwomba ampeleke nyumbani kwasababu alikuwa na usafiri na wakati huo usiku umeshaingia," amesema.

"Alimchukua na pikipiki yake na kumpeleka nyumbani, walipofika nyumbani mtuhumiwa aliingia ndani akatoka na panga ndipo alipoanza kumcharanga mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake," ameeleza.

"Marehemu alijitahidi kupiga yowe wakati akicharangwa mapanga, bahati nzuri kukawa kuna majirani wametoka kumsaidia, wakati hawa majirani nao wanamsaidia wakajeruhiwa na huyu mtuhumiwa, marehemu alipata mwanya akatoroka, alikimbia mita 100 damu zilikuwa zinamwagika sana na alidondoka na kufariki," amesema.

MWANANCHI
Mke wa mtu sumu
 
Huwa watu makatili na wadhulumaji na waonevu Kama was huko,yaani masikini huko huwa anakimbia anahama kabisa anajichimbia mikoa ya watu ambako wanaishi kwa kujali utu.
Vijana wanafanya kazi huko miaka hata kumi Kama Shanna boy from singida baadaye wanategeshewa wizi wanafukuzwa ama kufungwa jela wanaacha hela zao miaka 10 yote.
Na jamaa wanajua kusali kinyama. Hebu acheni kujidhalilisha watu mmesoma kabla ya mkoloni,mmeelimika na kustarabika bado mnafanya Mambo haya ya kidwanzi
 
Mijitu mingine kuachilia roho mbaya lakini hata akili yamekosa.
Anyway hakuna muuaji mwenye akili.
 
Huwa watu makatili na wadhulumaji na waonevu Kama was huko,yaani masikini huko huwa anakimbia anahama kabisa anajichimbia mikoa ya watu ambako wanaishi kwa kujali utu.
Vijana wanafanya kazi huko miaka hata kumi Kama Shanna boy from singida baadaye wanategeshewa wizi wanafukuzwa ama kufungwa jela wanaacha hela zao miaka 10 yote.
Na jamaa wanajua kusali kinyama. Hebu acheni kujidhalilisha watu mmesoma kabla ya mkoloni,mmeelimika na kustarabika bado mnafanya Mambo haya ya kidwanzi
ni baadhi ya maeneo. Kwa udadisi wangu maeneo ya mwika, marangu na maeneo ya old moshi kdogo matukio ya ukatili ni machache sana. Ila kuanzia mamsera, kuja mashati Useri hadi tarakea pandisha hadi kule kikelelwa asee ni noma sana. Na hii ni toka zamani kipindi nasoma huko. Kwa mfano useri na tarakea zipo mpakani kiasi kwamba mtu anaweza fanya uhalifu halafu akavuka boda kuingia kenya kusikilizia upepo.
 
Back
Top Bottom