Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,807
- 17,359
Bora mtu Sasa asisome,wengine sie hata ajira ziwe wazi wazi, kuna vigezo vinatutoa nje ya mfumo.
Na tusharidhikaaa, polee zao wenye matarajio ya ajira, wanabaki kufurahishwaa km sio kushangazwaa,
Jamaa wa Petroleum anaendesha bajaji, GPA 3.8
Namuangalia nasemaa hiiii,
Vigezo vipi vinakutoa nje ya mfumo?wengine sie hata ajira ziwe wazi wazi, kuna vigezo vinatutoa nje ya mfumo.
Na tusharidhikaaa, polee zao wenye matarajio ya ajira, wanabaki kufurahishwaa km sio kushangazwaa,
Jamaa wa Petroleum anaendesha bajaji, GPA 3.8
Namuangalia nasemaa hiiii,
Kuna jamaa kamaliza saut,afu karudi kwao kijijin hatak kukubaliana na hali kuwa kamaliza chuo na hana mishe,kila siku namuona anachomekea na kuvaa ksmart vikadeti vyake vya chuo na shati za mtumbaKuna mdada hapa kamaliza udom mwaka juzi, yupo anauza kande! Ni huzuni kwakweli.. kwenye elimu wengi wametapeliwa.. na huu ni utapeli wa wazi
eti kazi za kujiajiri hazijawahi kumtoa mtu😅,endelea kujidanganyaWell, lakini pia mfumo wa kujiajiri nao haupo favourable kabisa, ili ujiajiri bongo kisha uje kutoboa ie. Business lazima uwe na mtaji mkubwa at least from 3M, niambie kijana alietoka chuo anapata wapi hiyo pesa, pesa chini ya hapo kutoboa ni ngumu sana, lakini pia tukumbuke hizi kazi za kujiajiri hazijawahi kumtoa mtu, huwa tunajipa moyo pambana ila kiuhalisia mafanikio yake mara nyingi ni hela ya kula na kulipa kodi ndio inayopatikana,
Mimi ni mhanga nimemaliza chuo mwaka jana sijui nini kitakachotokea huko mbele japokua kurudi nyumbani nimekaza japo maisha bado yanagonga kwenye mshono
Comment ya kikatili Sana hiiKuna jamaa kamaliza saut,afu karudi kwao kijijin hatak kukubaliana na hali kuwa kamaliza chuo na hana mishe,kila siku namuona anachomekea na kuvaa ksmart vikadeti vyake vya chuo na shati za mtumba
Wenzie tulishapigika kitambo sahv tunaendesha boda boda ila najua baada ya nusu mwaka atanyooka tu hasa huto tukadet tukianza kuchanika kwenye magoti
nmechekaa kwa sauti jamani dah 🤣🤣Kuna jamaa kamaliza saut,afu karudi kwao kijijin hatak kukubaliana na hali kuwa kamaliza chuo na hana mishe,kila siku namuona anachomekea na kuvaa ksmart vikadeti vyake vya chuo na shati za mtumba
Wenzie tulishapigika kitambo sahv tunaendesha boda boda ila najua baada ya nusu mwaka atanyooka tu hasa huto tukadet tukianza kuchanika kwenye magoti
Huyu mwanamke ana Entrepreneur mind set within a year ame face reality nakujua kuna maisha mengine kabisa baada ya kumalizia UN na kuhakikishia brother huyu mwanamke mpe muda mfupi utakuja kushangaa anakuwa na restaurant ya maana kama hato kataa tamaa.Kuna dada mmoja alikuwa pini sana chuoni..kamaliza mwaka jana..nilimfukuzia sana lkn wapi alikuwa anaweka ngumu sana( nadhani alikuwa na mshkaji wake) sasa mwaka huu nipo kwenye mishemishe zangu si nikakutana nae sehemu anauza vitumbua...ameisha...ule uzur wake umepungua haswaaaaa...yani alishtuka kuniona akawa anavunga tu...nikamuungisha nikasepa zangu
Sikutaka kufanya lolote kwan nilijua tu huyu safar hii hachomoi..na zigo lote litaniangukia mm(gharama za kumtunza)
Chuo gani unasemea?Siku hizi mitaa imepambwa na degrees za kutosha kutoka mavyuoni, Lakini cha ajabu vijana wamekua wakitia huruma kuliko hata aliyemaliza la saba, WANACHUO wengi wanapata taabu sana huku mtaani kuliko hata raia wa kawaida, kiukweli inahuzunisha. Pale kijana anapotoka chuo na matarajio makubwa Lakini ghafla maisha ya mtaa yanazima ndoto zake.
Yapi matunda ya mfumo wetu wa Elimu? Au ni uzembe wa vijana kutojituma wawapo mtaani?
#MyCountryPeople.
Una hoja usikilizwee.Bora mtu Sasa asisome,
Kiukwel kuna wengine hata kama ajira zipo lakin hawez kupata
Kuna watu wana maGPA makubwa lakin kwenye interview ni madomo zege
Ahahaha wenzako tulishaibgia kwenye mfumo miaka mingi sanaaa... Pambaneni majobless
Kuna jamaa kamaliza saut,afu karudi kwao kijijin hatak kukubaliana na hali kuwa kamaliza chuo na hana mishe,kila siku namuona anachomekea na kuvaa ksmart vikadeti vyake vya chuo na shati za mtumba
Wenzie tulishapigika kitambo sahv tunaendesha boda boda ila najua baada ya nusu mwaka atanyooka tu hasa huto tukadet tukianza kuchanika kwenye magoti
ukitaka ufe mapema, tegemea kilimo hasa kulima na kusubiri mvua inyeshe. utakufaMleta agenda hii uko sahihi kwa 100%
Shida ya ajira imekuwa kubwa mno
Na inaendelea kuwa kubwa sana
Ukiangalia mfumu ya elimu umekaa kibiashara pia
(Yaani vyup pia ni biashara inafanywa)
Maana unalipa Ada ili upate elimu
What next baada ya kumaliza sio issue kwa
Wanabaki ku focus kupata batch mpya
Hili jambo linahitaji mjadala mpana labda pia kubadilisha mfumo mzima wa elimu.
Ifike mahali tuachane na bookish
(Elimu ya kuwinda white colour jobs)
Na kwenda elimu ya ufundi na vitendo zaidi
Ama elimu ya kumuwezesha kijana kufanya jambo la
Either
Ufundi
Ukulima(hapa ardhi tunayo maji tunayo)
Uvuvi(bahari na maziwa tunavyo)
Ufuguji wa kisasa(Ardhi kubwa ipo)
Uzalishaji wa nguo(kurejesha viwanda vya pamba na kuanza kuzalisha vitambaa)
Nk
Hayo ni baadhi ya madadililo yanapaswa kufanyika top down
Kimfumo na mtu mmoja mmoja
Nawasilisha.
Hawakuona kwamba ile ilikuwa kiasiasa?wengine sie hata ajira ziwe wazi wazi, kuna vigezo vinatutoa nje ya mfumo.
Na tusharidhikaaa, polee zao wenye matarajio ya ajira, wanabaki kufurahishwaa km sio kushangazwaa,
Jamaa wa Petroleum anaendesha bajaji, GPA 3.8
Namuangalia nasemaa hiiii,