A
Anonymous
Guest
Salaam,
Tafadhali kama mdau mwenye kutakia mama nchi naomba muangaze mambo haya ndani ya VETA.
1. Mamlaka ina shida kubwa kwenye utoaji wa mafunzo, shida kubwa ikiwa kwenye upatikanaji wa dhana za kufundishia (trainning materials). Kwa makadrio ya chini kinachopatikana ni kama 20% ya kinachohitajika.
Majibu ya Haraka yanaweza dhaniwa ni changamoto ya fedha serikalini,ila naomba jibu hili lisichukuliwe kwa wepesi kwani binafsi naona kama kuna maamuzi yanafanyika hayana matokeo chanya kuhusu usimamizi wa rasilimali zilizopo pamoja na uchache wake.
2. Pili viongozi wengi katika ngazi mbali mbali sio wenye uelewa wa ufundi (sio watu waliosomea mambo ya ufundi).
Binafsi naona ni kansa inayomaliza mamlaka.
Tafadhali kama mdau mwenye kutakia mama nchi naomba muangaze mambo haya ndani ya VETA.
1. Mamlaka ina shida kubwa kwenye utoaji wa mafunzo, shida kubwa ikiwa kwenye upatikanaji wa dhana za kufundishia (trainning materials). Kwa makadrio ya chini kinachopatikana ni kama 20% ya kinachohitajika.
Majibu ya Haraka yanaweza dhaniwa ni changamoto ya fedha serikalini,ila naomba jibu hili lisichukuliwe kwa wepesi kwani binafsi naona kama kuna maamuzi yanafanyika hayana matokeo chanya kuhusu usimamizi wa rasilimali zilizopo pamoja na uchache wake.
2. Pili viongozi wengi katika ngazi mbali mbali sio wenye uelewa wa ufundi (sio watu waliosomea mambo ya ufundi).
Binafsi naona ni kansa inayomaliza mamlaka.