Chetikungu
Member
- May 22, 2018
- 15
- 29
Wanajamvi, salaam
Naenda moja kwa moja kwenye point
Hali halisi ya thamani ya pesa yetu inazidi kushuka kwa kasi sanaa ukilinganisha na miaka kadhaa iliopita, ukichukua takwimu za Benki kuu (BOT) kwa haraka tu utaona na kudhibitisha hayo, ukiangalia kwa mwezi July mpaka August 2020 utagundua kulikua na mabadiliko chanya kwenye thamani ya shilingi, tarehe 23 July Dola moja ya Marekani ilikua na thaman ya Tsh 2,309.37, mpaka kufikia tarehe 10 Aug 2020 thamani ya shiling ilipanda na kufikia 2,309.16, hii inamaanisha thamani ya pesa yetu sokoni ilikua kubwa na iliimarika zaidi.
Sasa njoo kipindi kama hicho kwa mwaka 2021, tarehe 23 Jul, Dola moja ilikua na thaman ya Tsh 2,310.62, mpaka kufikia tarehe 10 Aug 2021 thamani ya shilingi ilishuka na kufikia 2,310.78, hali hyo ni mbaya sana kiuchumi kwa ujumla, hilo ni anguko la thamani ya pesa yetu, natambua thamani ya pesa haiwezi kua static lakini haiwezi kua inabadilika kila siku, kwa kipindi hiki tulichopo ni wazi sasa thamani ya shiling ya Tanzania kila siku inashuka kwa centi moja, hilo ni anguko, kuna haja ya kupitia sera zetu na kujaribu kucontrol upandishwaji holela wa bei za bidhaa.
Wadau maoni yenu kwenye hili..
Naenda moja kwa moja kwenye point
Hali halisi ya thamani ya pesa yetu inazidi kushuka kwa kasi sanaa ukilinganisha na miaka kadhaa iliopita, ukichukua takwimu za Benki kuu (BOT) kwa haraka tu utaona na kudhibitisha hayo, ukiangalia kwa mwezi July mpaka August 2020 utagundua kulikua na mabadiliko chanya kwenye thamani ya shilingi, tarehe 23 July Dola moja ya Marekani ilikua na thaman ya Tsh 2,309.37, mpaka kufikia tarehe 10 Aug 2020 thamani ya shiling ilipanda na kufikia 2,309.16, hii inamaanisha thamani ya pesa yetu sokoni ilikua kubwa na iliimarika zaidi.
Sasa njoo kipindi kama hicho kwa mwaka 2021, tarehe 23 Jul, Dola moja ilikua na thaman ya Tsh 2,310.62, mpaka kufikia tarehe 10 Aug 2021 thamani ya shilingi ilishuka na kufikia 2,310.78, hali hyo ni mbaya sana kiuchumi kwa ujumla, hilo ni anguko la thamani ya pesa yetu, natambua thamani ya pesa haiwezi kua static lakini haiwezi kua inabadilika kila siku, kwa kipindi hiki tulichopo ni wazi sasa thamani ya shiling ya Tanzania kila siku inashuka kwa centi moja, hilo ni anguko, kuna haja ya kupitia sera zetu na kujaribu kucontrol upandishwaji holela wa bei za bidhaa.
Wadau maoni yenu kwenye hili..