Hali bado tete jijini Mbeya

Hali bado tete jijini Mbeya

Kwa jinsi mbeya walivyo, poleni wasiue mtu vinginevyo kuna uwezekanao wa kulipa visasi na hiyo vita haitaisha.
 
Nimeongea na watu wa Mbeya sasa hivi, wananiambia hakuna lolote huko, wleta fujo wamedhibitiwa, FFU na polisi wanazunguka zunguka mitaani na magari yao na ukionekana unaashiria fujo unakula mkong'ong'oto na kutupiwa nyuma gari ukajieleza mbele ya safari.

Na vikosi vingine vinaelekea huko, haya tokeni ndani mbona mnajificha? si wajanja nyie?
naona unashangilia jeshi la kanisa kulinda serikali ya ki islam kama ulivyo shutumu kwenye moja ya post zako jana. FF u kiumbe cha ajabu kwelikweli. Keepon my be you hv a logic !!?
 
Nimeongea na watu wa Mbeya sasa hivi, wananiambia hakuna lolote huko, wleta fujo wamedhibitiwa, FFU na polisi wanazunguka zunguka mitaani na magari yao na ukionekana unaashiria fujo unakula mkong'ong'oto na kutupiwa nyuma gari ukajieleza mbele ya safari.

Na vikosi vingine vinaelekea huko, haya tokeni ndani mbona mnajificha? si wajanja nyie?

nakuheshimu sana, lakini nafikiri tatizo lako unafikiri sekeseke la mbeya ni la kisiasa na hasa kwamba chadema. kama unawaza hivyo unakosea kabisa. linahusu hawa walala wima wataishije - kuna kina mama kama wewe wana watoto shule wanawatafutia karo na mahitaji mengine kwa kufanya biashara ndogo ndogo. wewe bila huruma unawaambia wale mikong'oto!!!!. Tumeishiwa busara kweli - yaani tunataka kutojipambanua na watu wavivu wa kufikiri!!??
 
Sugu ndiyo kaingia muda huu hapa anashangiliwa vibaya na machinga na mabomu bado yanaendelea kupigwa,Mungu tusaidie watanzania tushinde vita hi dhalimu inayofanywa na serikali ya CCM Kudhariridhisha utu wa mwanadamu.
 
yaani!we acha tu...naapa mungu leo hii ningekua mbeya nadhani leo nilikua ni mari ya polisi kwan hapa nilipo ninajazba ile mbaya
 
Nimeongea na watu wa Mbeya sasa hivi, wananiambia hakuna lolote huko, wleta fujo wamedhibitiwa, FFU na polisi wanazunguka zunguka mitaani na magari yao na ukionekana unaashiria fujo unakula mkong'ong'oto na kutupiwa nyuma gari ukajieleza mbele ya safari.

Na vikosi vingine vinaelekea huko, haya tokeni ndani mbona mnajificha? si wajanja nyie?

hahah..CDM ni wajanja kuongea hapa jamvini,
Hawana madhara yoyote, police wachache tu wanawadhibiti.
CDM acheni siasa za vikundi, kama mnania kweli, amueni! Siyo kuleta vurugu zisizo na maana.
 
Nimeongea na watu wa Mbeya sasa hivi, wananiambia hakuna lolote huko, wleta fujo wamedhibitiwa, FFU na polisi wanazunguka zunguka mitaani na magari yao na ukionekana unaashiria fujo unakula mkong'ong'oto na kutupiwa nyuma gari ukajieleza mbele ya safari.

Na vikosi vingine vinaelekea huko, haya tokeni ndani mbona mnajificha? si wajanja nyie?

Eti umeongea na watu. Hiyo ni hearsay tuu. Kwa nini usiende kujionea mwenyewe? muda mfupi uliopita jeshi la Polisi limepiga bomu za machozi katika ZAHANATI YA IPINDA eneo la Mwanjelwa na manesi wamerahi. You bet na hawa manesi walikuwa wanaleta fujo ndani ya zahanati. Vipi kama humo zahanati kulikuwa na mama anajifungua? Wewe ni mwanamke kweli? Unaujua uchungu wa kupigwa bomu la machozi huku uko kitandanini unajifungua?
 
Eti umeongea na watu. Hiyo ni hearsay tuu. Kwa nini usiende kujionea mwenyewe? muda mfupi uliopita jeshi la Polisi limepiga bomu za machozi katika ZAHANATI YA IPINDA eneo la Mwanjelwa na manesi wamerahi. I bet na hawa manesi walikuwa wanaleta fujo ndani ya zahanati. Vipi kama humo zahanati kulikuwa na mama anajifungua? Wewe ni mwanamke kweli? Unaujua uchungu wa kupigwa bomu la machozi huku uko kitandanini unajifungua? Au

Ukafanye fujo hospitali ili likipigwa useme kuna wanawake? piga tu hata kama kuna nani mule, kwani wanaume hawana roho? hata ujidai kuwadharau wanawake? Tena ndio raha kweli na huyo mtoto akizaliwa namuita bomu la machozi or is it machizi?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
nakuheshimu sana, lakini nafikiri tatizo lako unafikiri sekeseke la mbeya ni la kisiasa na hasa kwamba chadema. kama unawaza hivyo unakosea kabisa. linahusu hawa walala wima wataishije - kuna kina mama kama wewe wana watoto shule wanawatafutia karo na mahitaji mengine kwa kufanya biashara ndogo ndogo. wewe bila huruma unawaambia wale mikong'oto!!!!. Tumeishiwa busara kweli - yaani tunataka kutojipambanua na watu wavivu wa kufikiri!!??

Wale mikong'oto tu, nani anawaambia wafanye biashara barabarani, kama hawana pa kufanyia biashara warudi vijijini wakalime. Msitetee ujinga.

Na hao sio wafanya biashara hizo zote ni mbinu za magwanda ili kuoekana nchini kuna fujo. Lakini dawa yao ni ndogo tu, kuna vichaa wamepelekwa huko, wakae chonjo.
 
yaani!we acha tu...naapa mungu leo hii ningekua mbeya nadhani leo nilikua ni mari ya polisi kwan hapa nilipo ninajazba ile mbaya

Kwani Serikali ipo Mbeya tu, si anza hapahapa. unanchekesha!
 
Mkuu wa Mkoa Abas Kandoro akiwa na waandishi wa habari muda mfupi uliopita wakijadili swala la Mgogoro na wamachinga
1kituo.jpg


Bara bara zimefungwa maeneo ya Mama John muda huu

2.jpg



Waandishi wa habari wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa kutokana na Sakata Hili la wamachinga

3.jpg



Wanachi wa Mbeya wakiwa wanashangilia tuu wakati waandishi wanaendelea na kikao na Mkuu wa mkoa

4.jpg
 
Ukafanye fujo hospitali ili likipigwa useme kuna wanawake? piga tu hata kama kuna nani mule, kwani wanaume hawana roho? hata ujidai kuwadharau wanawake? Tena ndio raha kweli na huyo mtoto akizaliwa namuita bomu la machozi or is it machizi?

Hivi ulishapona ule ugonjwa wako wa kupenda mabwana wa wenzio?
 
@Ruhazwe JR
Tuijenge JF kwa kukubali kutofautaina na mtu kwa hoja bila vioja na lugha kali zisizo na staha . Vile vile Tujaribu kudhibiti hasira na maandishi yanayoweza kusababisha ban.
 

Asante kwa kumjibu kwa niaba yangu. Naona anafikiri kwa kutumia "Masaburi" zaidi badala ya ubongo. Yeye na serikali ya CCM hawana plan B ya mahali pa kuwapeleka wamachinga, baada ya kuwafukuza Mwanjelwa. Wamachinga nao (kwa maana ya sekta binafsi) wanachangia kukua kwa uchumi, ni sharti serikali iwatambue, iwape maeneo ya kufanyia kazi zao ili wasaidie kukuza uchumi kwa kulipa kodi zaidi.
Majuzi hapa wananchi wa Mbalizi wamendamana na kutaka kumpopoa kwa mawe Mkurugenzi wa wilaya ya Mbeya kwa kufuja mradi wao wa maji, na waliomweka mkurugenzi huyu madarakani wapo kimyaaa, hawajamchulkulia hatua za kinidhamu! Nyambaf

Mkuu, mimi ni mchumi. Lakini nashindwa kumuelewa mchumi mwenzangu Jk kuwa haoni fursa ya Wamachinga kuwa transformed from informal to formal sector. Ambayo itaongeza pato la Taifa thru kodi vilevile kuinua life std za hao Machinga. Thats why hajui ni kwa nini Watanzania ni maskini wakati anaalika mashoga zake ikulu na kula bata huku vibaraka wao Tbc wakituonyesha "live" jinsi wanavyojua kula kodi. Bora Mkapa mwanahabari lakini nchì haikuwa mfu hivi.
 
Hawa chadema wanahatarisha amani yetu.
 
Hawa jamaa hawatumii akili kweli, serikali ikiruhusu wananchi wafanye vile wanavyotaka si itakuwa vurugu. Wamachinga wanaamua kujipangia maeneo ya kufanya biashara hata kama sio rasmi.

Huu ni uhuni ambao serikali haiwezi kuuvumilia.
 
Taarifa nilizozipata muda mfupi uliopita zinasema kwamba majeruhi wanazidi kumiminika katika hospitali ya rufaa mbeya na madatari wote ambao walikuwa hawapo zamu hapo hospitalini wameitwa kwenda kusaidia kutoa huduma kwa majeruhi hao ambao asilimia kubwa wameumizwa vibaya na wanahitaji kulazwa.

Pia wakati huo huo taarifa zinasema kwamba vijana ambao jeshi la polisi limewakamata na kuwaweka mahabusu wamekumbwa na dhahama la kukosa hewa wakiwa mahabusu. Wengi wamepelekwa hospitali wakiwa wamepoteza fahamu kutokana na kukosa hewa. Hakuna taarifa rasmi kama kuna mahabusu waliopoteza maisha kwa kukosa hewa kwani polisi hawatoi taarifa zozote.

Mkuu wa mkoa pia alikuwa na mkutano na waandishi wa habari. Sijapata bado nini kilijadiliwa katika mkutano huo. Ntatoa taarifa zaidi ambazo ntapata.
 
Mabomu ya machozi na risasi za moto havijawahi kuwa suluhisho la matatizo ya wananchi na kwahiyo hata kama polisi watayavurumisha wiki nzima haitakuwa suluhu.

Muhimu ni uongozi wa mkoa kuyatazama matatizo ya wamachinga kwa busara na kama wajibu wao wa lazima, wakae nao mezani, wawasikilize madai yao na hatimaye watafikia suluhisho. Hii hali ikiendelea hivi ninapata wasiwasi na mustakabali wa askari na familia za askari polisi wanaoishi uraiani! Katika hili waziri nahodha anatakiwa kuwa mbeya hadi muda huu ninapoandika post hii.
Hata wakikaa nao mezani hawatasuluisha,watawadanganya tu ili kuwatuliza.

Umeisahau ccm,kama wamzidiwa nguvu hata baada ya kutumia dola, basi gia ya kukaa mezani ni kuwatuliza tu ili wawadhibiti vizuri zaidi na kuwa contain mara baada ya kujipanga upya.
 
Bado, unaweza. Ni mkong'oto tu, hakuna huruma kwa waleta fujo wachache wanaotaka tuvunja amani ya hii nchi.
sidhani kama unamanisha ulicho ongea, na kama unamaanisha basi ni ule usemi wa adui wa adui yako ni mwenzako. Keepon FF soon you'll see bright new day shinning before you with working mfumo islam.
 
Back
Top Bottom