Hali bado tete jijini Mbeya

Hali bado tete jijini Mbeya

Nimeongea na watu wa Mbeya sasa hivi, wananiambia hakuna lolote huko, wleta fujo wamedhibitiwa, FFU na polisi wanazunguka zunguka mitaani na magari yao na ukionekana unaashiria fujo unakula mkong'ong'oto na kutupiwa nyuma gari ukajieleza mbele ya safari.

Na vikosi vingine vinaelekea huko, haya tokeni ndani mbona mnajificha? si wajanja nyie?
Kama mkiamuwa kuviziana hamumkomoi mtu zaidi ya serikali yenu.

Subiri uone kama hao polisi watazunguka mtaani kuwatisha milele.
 
Wale mikong'oto tu, nani anawaambia wafanye biashara barabarani, kama hawana pa kufanyia biashara warudi vijijini wakalime. Msitetee ujinga.

Na hao sio wafanya biashara hizo zote ni mbinu za magwanda ili kuoekana nchini kuna fujo. Lakini dawa yao ni ndogo tu, kuna vichaa wamepelekwa huko, wakae chonjo.

lugha yako inatia hamasa ya kulipiza kisasi wakati wowote popote kwa watu wa mrengo wako. uombe mungu kwani hakutakuwa na bomu la kugombelezea wala ffu wa ku-attend mkishughulikiwa, mtajuta kuzaliwa. we shabikia tu huo ujinga wa wajinga wajinga wenzako. na kama kulima kunaheshima unafanya nini mjini, umewahi sikia mkulima anaitwa mheshimiwa. hebu kapige mswaki kinywa chako na mara zote zingatia afya ya kinywa chako!!!
 
Eti umeongea na watu. Hiyo ni hearsay tuu. Kwa nini usiende kujionea mwenyewe? muda mfupi uliopita jeshi la Polisi limepiga bomu za machozi katika ZAHANATI YA IPINDA eneo la Mwanjelwa na manesi wamerahi. You bet na hawa manesi walikuwa wanaleta fujo ndani ya zahanati. Vipi kama humo zahanati kulikuwa na mama anajifungua? Wewe ni mwanamke kweli? Unaujua uchungu wa kupigwa bomu la machozi huku uko kitandanini unajifungua?
FaizaFoxy said:
Ukafanye fujo hospitali ili likipigwa useme kuna wanawake? piga tu hata kama kuna nani mule, kwani wanaume hawana roho? hata ujidai kuwadharau wanawake? Tena ndio raha kweli na huyo mtoto akizaliwa namuita bomu la machozi or is it machizi?
Mkuu huyu FF atakuwa mtop serikalini,maneno anayotumia ni makali sana.Sidhani kama ni ya mwananchi wa kawaida.

Yeye ni lazima ni kiongozi mkubwa sana ama fisadi mkubwa sana.

Hao ndo wanaweza wasiwe na huruma na binadamu yoyote mtanzania masikini ama mwenye shida.
Hawezi ona huruma,ni mashetani haya.

Kule uchaggani tunaamini mashetani ni watu wenyewe na hawatoki pengine bali miongoni mwetu.

Hii ina maana kupambana na shetani sometimes ni sawa na kupambana na binadamu mwignine tu ambaye ni "shetani"
 
hawa jamaa hawatumii akili kweli, serikali ikiruhusu wananchi wafanye vile wanavyotaka si itakuwa vurugu. Wamachinga wanaamua kujipangia maeneo ya kufanya biashara hata kama sio rasmi.

Huu ni uhuni ambao serikali haiwezi kuuvumilia.

usipowatengea watajitengea! Suluhisho si kuwatimua, serekali ya mkoa ingetafuta jinsi ya kuwa intagrate kwenye master plan yao! Wenzetu walioendelea wanawasajili, wanafunga mitaa, wanazuia magari kupita hiyo mitaa, wanawaachia machinga kufanya biashara!
 
Wale mikong'oto tu, nani anawaambia wafanye biashara barabarani, kama hawana pa kufanyia biashara warudi vijijini wakalime. Msitetee ujinga.

Na hao sio wafanya biashara hizo zote ni mbinu za magwanda ili kuoekana nchini kuna fujo. Lakini dawa yao ni ndogo tu, kuna vichaa wamepelekwa huko, wakae chonjo.

Ila wewe ajuza una kera sana. sijawahi ona m2 mwenye roho mbaya kama wewe. kama msimamo wako na rejao ndio msimamo wa ccm. then i have to hate ccm with all my heart.
 
Ukafanye fujo hospitali ili likipigwa useme kuna wanawake? piga tu hata kama kuna nani mule, kwani wanaume hawana roho? hata ujidai kuwadharau wanawake? Tena ndio raha kweli na huyo mtoto akizaliwa namuita bomu la machozi or is it machizi?

Wewe ni Muumini kweli au ni kaafir fulani tu? Kama ni muumini wa kweli inachotakiwa uombe dua ili MMungu alieposhe hili! na alete wepesi kwa walioathirika, leo unashabikia? INNA LILAALAH WAINNA LILAALAH RAAJUN. omba Ghuufirar ili usalimike!
 
Tatizo linalotukabili ni kwamba, tulishapoteza viongozi sasa tupo na watawala! Wanaotengenezea maamuzi kwenye ac!
 
Jamani wakati ni huu, Vijana wa vyuo hawana mikopo, pia wamachinga wanaonewa, wanateswa

Watanzania tuungane, tuwasaidie hawa wamachinga. Hawa wamachinga ni vijana wenzetu, ni dada zetu, kaka zetu na watoto wetu.


Hawa wamachinga wamekuwa wabunifu, wanajishughulisha, jamani mnataka wawe majambazi?

Ardhi ya kulima iko wapi? wawekezaji, mafisadi na vig o go wamegawana ardhi kubwa kubwa. Vijana wametelekezwa, wafanye kazi gani?

Wanaharakati, watetea haki za binadamu na watanzania wote tunaopenda haki. Tuungane ili tutoe matamko, tuikemee serikali na tufanye maandamano ya amani.

Vijana wa Vyuo vikuu nao wanateswa, vijana wanataka elimu iwakomboe ila serikali inawatesa. Hela za dowans, sherehe za uhuru ila hela za kuwaendeleza vijana wetu hakuna?

Kweli hakuna haja ya amani ya kinafiki wakati haki tanzania haipo tena.

Sasa cha kufanya ni kuungana mikoa yote, Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, shinyanga, Bukoba ili tuandamane bila kujali dini, siasa au kipato.
Tuhamasishane kwa kutumia simu, kila mtu amtumie rafiki, ndugu ujumbe huu hapa chini.


-- Pinga uonevu, tetea vijana wa Tanzania, tuunganishe nguvu katika maandamano ya amani ili serikali isikie. Sasa kila mmoja wetu afike katika uwanja wetu wa mikutano. Wote tunataka tanzania yenye vijana wanaostawi, hatutaki wezi, na machangu doa--
 
Inasikitisha kwa taifa kuwa mikononi mwa polisi huku viongozi wakiwa wamelala, nasema wamelala kwa sababu mpaka sasa sijasikia na sijaona juhudi za makusudi za kumaliza tatizo hilo. Inasikitisha zaidi kuona sehem ambazo wananhi walichagua upinzani ndo kuna kuwa na matatizo na serikali, mwanza namshukuru Mh. Wenje kwa kulimaliza tatizo la wamachinga kama si huyu Kandoro alikuwa tayari ameanzisha vurugu na wamachinga na sasa tunashuhudia Mbeya alikopelekwa... Huyu anaikomoa serikali na chama chake.
 
Nataman kwel kujitoa mhanga.
Hiv vile viwanda vya kutengeneza bunduki mbeya vilikufa vyote? Huu ndiyo mda muafaka wa kuzi2mia jaman hata wale majambaz mnaotumia bunduki na mabom huu ndiyo mda muafaka wa kuonyesha maujuzi.
Angetokea hata m2 mwenye mabom hata 5 tu atuthamin 2lipue gar za ffu na gari la washawasha ndiyo serikal inge2lia na kujua kuwa wananch 2mechoka juu ya upumbav waufanyayo.
Kila cku wanaua raia sasa ni bora na wenyewe watiwe machungu.
 
polisi wanafukuzana na wananchi mitaani na kupasua mabomu. - inanikumbusha enzi za ukoloni na karibu tunapata uhuru wakati wazaramo wa buguruni dar es salaam(buguruni ilikuwa wazaramo 100%) walipopambana na askari wa malikia hadi gavana akaingia TBC kuwaomba wananchi wa buguruni watulie na kutoa ushirikiano. Toka pale Buguruni ikaitwa ALABAMA ya Tanganyika jina ambalo lilifutiika badae.

Nasisitiza viongozi waache mambo ya siasa waingie kwenye uchumi na busara kulimaliza sekeseke hili. Hakuna mambo ya chadema wala nini hapa
Unakumbuka kodi ya maendeleo aseee!!
hawa wakoloni weusi bana!
 
Hawa jamaa hawatumii akili kweli, serikali ikiruhusu wananchi wafanye vile wanavyotaka si itakuwa vurugu. Wamachinga wanaamua kujipangia maeneo ya kufanya biashara hata kama sio rasmi. Huu ni uhuni ambao serikali haiwezi kuuvumilia.

Mkuu heshima mbele. Weka ushabiki pembeni unakumbuka kule Tunisia ni nani hasa alikuwa chanzo cha yale mapinduzi? Si alikuwa mmachinga, tena aliyesoma na alikuwa anauza mbogamboga kama wamachinga wa kwetu, na polisi wakamfanyizia. I am sure unajua kilichotokea. Watu huwa tunachukilia mambo simple simple, lakini situation itakapo escalate tunaanza kutoa lawana. Serikali inachukulia hili suala so simple. Ndio kwa sasa linaonekana nin simple, lakini litakapo escalate from region to nchi nzima, then it will be too late for the government to handle it.

Wapo wanaoilaumu Chadema. Whether or not wanahusika I don't know lakini akina Ben Ali, Mubarak na Gaddafi waliwahusisha waandamaji na Al Qaeda na kusema ni uhuni ambao serikali zao zisingeweza kuuvumulia. Lakini leo wako wapi na serikali zao? Ulivyoandika sijui kama unaitendea mema serikali. Mkuu inawezekana hao wamachinga wanaamua kujipangia maeneo ya kufanya biashara ambyo sio rasmi lakini zipo njia bora za kutatua hilo tatizo. Naamini wamachinga ni watu wanaotafuta kipato kama wewe na kama binadamu wengine unaweza ukakaa nao meza moja na kujadiliana. Huwezi ukaingia nyumbani kwangu kichwa kichwa eti, eti the house is dirty and you want to kick me out it. How?

Hakuna juhudi za makusudi zinazochukuliwa na serikali kumaliza hili tatizo. Ni polisi tuu wanakimbizana na watu.
 
Mkiwa na rais lege lege ambaye kazi anayojua ni kuiba kura matokeo yake ndio hayo.
 
Mkuu huyu FF atakuwa mtop serikalini,maneno anayotumia ni makali sana.Sidhani kama ni ya mwananchi wa kawaida.

Yeye ni lazima ni kiongozi mkubwa sana ama fisadi mkubwa sana.

Hao ndo wanaweza wasiwe na huruma na binadamu yoyote mtanzania masikini ama mwenye shida.
Hawezi ona huruma,ni mashetani haya.

Kule uchaggani tunaamini mashetani ni watu wenyewe na hawatoki pengine bali miongoni mwetu.

Hii ina maana kupambana na shetani sometimes ni sawa na kupambana na binadamu mwignine tu ambaye ni "shetani"
Hana ukubwa wowote huyo mpemba, ni maskini tu kama ndugu yake rejao. Nape kawapa visimu vya kuletea fujo humu JF na kuwapa viposho vya shs 10,000 anajiona amemaliza dunia. Ila mi ninamfurahia sana kwani anasaidia sana kuwafanya watu humu ndani wazidi kuichukia CCM kuwa ni chama kisicho na huruma kama wafuasi wake humu JF. Suala la mtu kupigwa risasi na kujeruhiwa halina itikadi. Ndio maana tumeamua kuwakuza watoto wetu katika mazingira ya kutambua kuwa CCM ni dudu baya kama shetani wanatakiwa waliogope saana. Mtoto akitoka nje usiku unamwambia utakamatwa na CCM atakumeza... Mijinga kama FF ndio imetufikisha huko.
 
Ila wewe ajuza una kera sana. sijawahi ona m2 mwenye roho mbaya kama wewe. kama msimamo wako na rejao ndio msimamo wa ccm. then i have to hate ccm with all my heart.

Wewe bado unapoteza muda wako kumjibu mtoto wa fisadi papa? Wacha ajijibu mwenyewe.

BTW hivi Salma Kikwete ameonekana huko kutoa rambi rambi zake.
 
Kikao kimeanza sasa watu ni wengi sana. Mbunge Joseph Mbilinyi anahutubia sasa. Picha na Stanslaus yupo eneo la tukio. I hope he clear this mess out.


kikao.jpg


Na hapa ni wananchi baadhii wakiwa Kabwe Jijini Mbeya muda mfupi uliopita kungoja mazungumzo na Serikali kusuruhisha tatizo.


cc.jpg
 
hahah..CDM ni wajanja kuongea hapa jamvini,
Hawana madhara yoyote, police wachache tu wanawadhibiti.
CDM acheni siasa za vikundi, kama mnania kweli, amueni! Siyo kuleta vurugu zisizo na maana.
Naona unalipwa kwa kutaja CHADEMA kwa ubaya.............you are actually blowing off some Ds!!
you can take it really deep and rough!!
 
Back
Top Bottom