Hali bado tete jijini Mbeya

Nimeongea na watu wa Mbeya sasa hivi, wananiambia hakuna lolote huko, wleta fujo wamedhibitiwa, FFU na polisi wanazunguka zunguka mitaani na magari yao na ukionekana unaashiria fujo unakula mkong'ong'oto na kutupiwa nyuma gari ukajieleza mbele ya safari.

Na vikosi vingine vinaelekea huko, haya tokeni ndani mbona mnajificha? si wajanja nyie?
 
MBEYA;
Polisi wapiga mabomu kwenye zahanati ya IPINDA mwanjelwa. Manesi wazilahi.mia
 
natamani sana vita iwe kubwa mpaka dar maana huyu mkuu wa kaya yupo anasilizia itabidi niongee na Bush ili anifadhili silaha maana miafrika ukiipa silaha tu inauana yenyewe kwa yenyewe..

Tanzania kaa Somalia vile..
 
Me naona kandolo amekurupuka ni hivi karibuni watu wamepoteza mitaji kwa masoko matatu kuungua moto na hawajalipwa fidia wala kujengewa vibanda. Soko linalojengwa hata halija kamilika alaf unataka kuwaondoa vijana waende wapi? au unataka vijana waje watupige roba mitaani wakati wewe upo ndani ya v8 na nyumba inalindwa na maaskari muda wote! vijana endeleza mapambano na hao askari msije baadae mkatugeuzia kibao sisi tusio na hatia kwa kukoseshwa ajira.
 
Nini hasa ambacho tangu jana kina shindakutatulika kwa njia nyingine zooote ...ila Mabomu tu!!??
 
Nimeongea na watu wa Mbeya sasa hivi, wananiambia hakuna lolote huko, wleta fujo wamedhibitiwa, FFU na polisi wanazunguka zunguka mitaani na magari yao na ukionekana unaashiria fujo unakula mkong'ong'oto na kutupiwa nyuma gari ukajieleza mbele ya safari.

Na vikosi vingine vinaelekea huko, haya tokeni ndani mbona mnajificha? si wajanja nyie?

Mmepata fundisho watu wakiamua wanaweza fanya chochote, kama wanauwezo si wangedhibiti ujambazi? majambazi wamewashinda sasa watu wakiamua wataweza? msg sent kwa serikali ya sisiemu kwamba sasa wamechoka na maisha haya. Zamani vurugu zilikuwa zinafanywa na wanafunzi tu lakni siku hizi hata watu nao hawaogopi kabisa. Maana jamaa wamechanganyikiwa mpaka wamepiga bomu la machozi zahanati.

Wewe ndo utajificha jana ulikuwa kimyaaaaaa?
 
Wajameni, mi nipo dar lkn nimepigiwa simu na mtu wa karibu aliyeko mbeya anasema bado kuna milipuko ya mabomu hapa na pale, soko la soweto limefungwa na familia nyingi zimepata usumbufu wa jinsi ya kupata mahitaji mhimu, naomba mlioko mbeya na wenye uwezo wa kutujuza kwa picha mtuhabarishe zaidi. Hii ni hatari, ndugu zetu wanateseka huko!
 
........sure! tujuzeni maana media zimechagua upande wa pili iwe kwa bahati mbaya ama makusudi habari za Mbeya tunafichwa
 
Na hayo yanayoongozwa na ccm ambayo uzalshaj unaendelea yana nini kipya? Kuna maendeleo? Usitumie spinal cord kuwaza. Kilaza wewe....

Asante kwa kumjibu kwa niaba yangu. Naona anafikiri kwa kutumia "Masaburi" zaidi badala ya ubongo. Yeye na serikali ya CCM hawana plan B ya mahali pa kuwapeleka wamachinga, baada ya kuwafukuza Mwanjelwa. Wamachinga nao (kwa maana ya sekta binafsi) wanachangia kukua kwa uchumi, ni sharti serikali iwatambue, iwape maeneo ya kufanyia kazi zao ili wasaidie kukuza uchumi kwa kulipa kodi zaidi.

Majuzi hapa wananchi wa Mbalizi wamendamana na kutaka kumpopoa kwa mawe Mkurugenzi wa wilaya ya Mbeya kwa kufuja mradi wao wa maji, na waliomweka mkurugenzi huyu madarakani wapo kimyaaa, hawajamchulkulia hatua za kinidhamu!

Nyambaf
u
 
Nimeongea na watu wa Mbeya sasa hivi, wananiambia hakuna lolote huko, wleta fujo wamedhibitiwa, FFU na polisi wanazunguka zunguka mitaani na magari yao na ukionekana unaashiria fujo unakula mkong'ong'oto na kutupiwa nyuma gari ukajieleza mbele ya safari.

Na vikosi vingine vinaelekea huko, haya tokeni ndani mbona mnajificha? si wajanja nyie?

Yule waziri wa uingereza mwenye jina linaloishia na Cameron ana wafuasi hapa nchini. Mwone vile hata haya huoni.
 
Mmepata fundisho watu wakiamua wanaweza fanya chochote, kama wanauwezo si wangedhibiti ujambazi? majambazi wamewashinda sasa watu wakiamua wataweza? msg sent kwa serikali ya sisiemu kwamba sasa wamechoka na maisha haya. Zamani vurugu zilikuwa zinafanywa na wanafunzi tu lakni siku hizi hata watu nao hawaogopi kabisa. Maana jamaa wamechanganyikiwa mpaka wamepiga bomu la machozi zahanati.

Wewe ndo utajificha jana ulikuwa kimyaaaaaa?

nakwambia na bado watajificha sana mpaka tutawaulia shimoni na kuwazika kwa aibu,leo watatuua kama nzige lakini zamu yao itafika kwana hata gadaff hakuamini hali ilivyomchengia hadi mauti
 
Nimewasiliana na mtu aliyeko uyole ukweli ni kuwa hakuna kinachoendelea kila kitu kimefungwa na wameamuliwa wakalale saizi, maduka soko na shughuli zoote zimefungwa! Hii ndo serikali ya jk bwana udikteta kama kawa wanadhani wamemaliza!? Sijui mtawalaza mpaka lini watu wa mbeya, magamba bwana!
 
Nauliza tena hayo mabomu, risasi, na mikojo ya Kifaru! Havitakwisha? Tukumbuke Damu huwa inalia Kulipiza Kisasi! Hatukumbuki Historia? Hata kifo cha Karume nacho tumezibwa ufahamu hatukumbuki? Viongozi warudisheni askari makambini kabla ya aibu! Tunataka Utulivu bila kumuua Mtu! Hivi tufe kwa manufaa ya nani? Nchi, mtu, watu, au?
 
Nimeongea na watu wa Mbeya sasa hivi, wananiambia hakuna lolote huko, wleta fujo wamedhibitiwa, FFU na polisi wanazunguka zunguka mitaani na magari yao na ukionekana unaashiria fujo unakula mkong'ong'oto na kutupiwa nyuma gari ukajieleza mbele ya safari.

Na vikosi vingine vinaelekea huko, haya tokeni ndani mbona mnajificha? si wajanja nyie?

Toa haki kwa watu na hutahitaji hiyo misululu ya FFU.
 
Back
Top Bottom