duh!!Kikao kimeanza sasa watu ni wengi sana. Mbunge Joseph Mbilinyi anahutubia sasa. Picha na Stanslaus yupo eneo la tukio. I hope he clear this mess out.
![]()
Na hapa ni wananchi baadhii wakiwa Kabwe Jijini Mbeya muda mfupi uliopita kungoja mazungumzo na Serikali kusuruhisha tatizo.
![]()
I object your honor, huo ni uhaini utakaoliachia taifa hili makovu yasiyotibika
Lazima kutetea haki za wasio na hatia hata kama wazazi wao hawana habari ya kulinda na kutetea haki za raia wasiokuwa na hatia
nipo eneo la uhindini Mbeya na mpaka sasa milipuko ya mabomu inasikika
duh!!
hiyo nyomi ina maana Mbeya watu wote ni wamachiga nini??
sasa serikali ya nini??
mambo kidogo yametulia maana hata daladaala zina tembea vizuri tu tunasubili jioni tuone.
Wananchi walio kwenye mkutano wamekataa kata kata kumsikiliza mkuu wa wilaya ya Mbeya. Kwenye picha hapo chini anavyoonekana baada ya kukataliwa na wananchi walio kwenye mkutano.
![]()
issue ni kwamba sekeseke la soko la mwanjelwa lilivyoungua then ndo kwanza linakamilika wanaambiwa waondoke, lile la SSIDO limeshaungua, sasa serikali gani isiyojali wananchi wanaoaribikiwa na mali zao??Siku hizi mtu yoyote anayeuza barabarani ni mmachinga hata awe ni mpare.
Kuna watu wamepigika na maisha, hapo bongo penyewe jijini Dar kuna maeneo ukiendesha watu wanatembea tu wamepigika hata hawaogopi kugongwa na magari.Kwa nini polisi/ waanzisha fujo(ffu) wameshindwa? Hii ni kiashiria kuwa wananchi wamepigika vya kutosha na hawana cha kupoteza. Aidha ni kwa sababu polisi hawaminiki tena mbele ya jamii wako kimaslahi zaidi kama Rejao, Ritz na wengine wengi. Polisi wetu wamekuwa chombo cha kukandamiza haki za raia, kupora na kuwa chombo cha kutisha raia wema wa Tanganyika yetu... Huku wakisahau kuwa hii ni yetu wote tuwe hatuna vyama maana ndo tuko wengi, tuwe na vyama lkn wote ni ndugu yaan watanganyika.
wleta,nyuma gari, UNAJITAHIDI SANA KUKUZA KISWAHILINimeongea na watu wa Mbeya sasa hivi, wananiambia hakuna lolote huko, wleta fujo wamedhibitiwa, FFU na polisi wanazunguka zunguka mitaani na magari yao na ukionekana unaashiria fujo unakula mkong'ong'oto na kutupiwa nyuma gari ukajieleza mbele ya safari. Na vikosi vingine vinaelekea huko, haya tokeni ndani mbona mnajificha? si wajanja nyie?