Hali bado tete jijini Mbeya

Hali bado tete jijini Mbeya

Kuna haja ya kuwaelimisha wananchi ili watofautishe sheria na siasa.

Serikali inakosea kuwapangia maeneo ya biashara?. No.

Possibly yes. Unajua kabisa biashara ni wateja. Bila wateja hakuna biashara. Kama wewe ni mfanya biashara halafu serikali ikupangie ukafanye biashara kwenye sehemu ambayo haina wateja utakubali kwenda? Ni swali tuu.
 
Possibly yes. Unajua kabisa biashara ni wateja. Bila wateja hakuna biashara. Kama wewe ni mfanya biashara halafu serikali ikupangie ukafanye biashara kwenye sehemu ambayo haina wateja utakubali kwenda? Ni swali tuu.

Asilani

Mkuu inauma sana kwamba Wamachinga wametengeneza soko I mean wanakisanyika na kufanya soko fulani kuwa Maarufu kwa maana ya kuwa na Wateja wengi, halafu unakuja unawaondoa kuwapeleka sehemu nyingine kwa minajili ya kujenga soko la kisasa ambalo vibanda/maduka wanagawana vigogo na kuwapangsihia wamachinga kwa bei ya Ulanguzi. Hii Haikubaliki Mkuu
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kuna haja ya kuwaelimisha wananchi ili watofautishe sheria na siasa.

Serikali inakosea kuwapangia maeneo ya biashara?. No.

Pia ukumbuke tatizo la Mbeya ni unique zaidi kwa sababu masoko zaidi ya matatu yaliungua moto. Yote yalifungwa ili yafanyiwe ukarabati baada ya kuungua moto. Cha msingi serikali ingejitahidi wakamilishe angalao soko moja ili kupunguza makali ya maisha. Lakini unawafukuza watu mjini na masoko yamefungwa, what do you expect hasa katika kipindi hiki kigumu chama maisha?

Kwa mfano wanaosema serikali iwapeleke kule Nane Nane nani atakayenunua vitu huko? Unafikiri wananchi watapanda basi kuwafutata wamachinga huko? Mazingira ya kibishara hayaruhusu. Huko hakuna mauzo yatakayofanyika kwa sababu biashara inategemeana na uwingi wa watu. Wamachinga sio wanjinga kiasi hicho. They have got business skills as well.

Hata wawekezaji wa nje wanaokuja Tanzaniania wanaangalia kwanza maeneo ya kuwekeza. Sio tu wewe unaona eneo liko wazi halafu unasema panafaa kibiashara. Hapafai na ndio maaana hilo eneo liko wazi. Kama lingekuwa linafaa wamachinga wangekuwa wameshaenda huko bila hata kulazimishwa.
 
Wananchi walio kwenye mkutano wamekataa kata kata kumsikiliza mkuu wa wilaya ya Mbeya. Kwenye picha hapo chini anavyoonekana baada ya kukataliwa na wananchi walio kwenye mkutano.

mkuu+wa+wilaya.jpg

Dah, anasikitisha lakini nani atamlaumu kama si yeye mwenyewe kujilaumu kwa kutokutumia busara ndogo tu ambayo ingeepusha watu wasiuliwe na police. Police nao pamoja na kuhudhuria mafunzo chuoni namna ya kuhandle usalama wa raia wanaua kabisa. Sijui ndo bangi, maana ingeeleweka walikuwa wanajihami kama wangekuwa wanapiga hata miguuni.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Wale mikong'oto tu, nani anawaambia wafanye biashara barabarani, kama hawana pa kufanyia biashara warudi vijijini wakalime. Msitetee ujinga.

Na hao sio wafanya biashara hizo zote ni mbinu za magwanda ili kuoekana nchini kuna fujo. Lakini dawa yao ni ndogo tu, kuna vichaa wamepelekwa huko, wakae chonjo.

Mungu Wangu..!!! Nakosa neno la kukuandikia! Anyway, God for bid you,!
 
Pia ukumbuke tatizo la Mbeya ni unique zaidi kwa sababu masoko zaidi ya matatu yaliungua moto. Yote yalifungwa ili yafanyiwe ukarabati baada ya kuungua moto. Cha msingi serikali ingejitahidi wakamilishe angalao soko moja ili kupunguza makali ya maisha. Lakini unawafukuza watu mjini na masoko yamefungwa, what do you expect hasa katika kipindi hiki kigumu chama maisha?

Kwa mfano wanaosema serikali iwapeleke kule Nane Nane nani atakayenunua vitu huko? Unafikiri wananchi watapanda basi kuwafutata wamachinga huko? Mazingira ya kibishara hayaruhusu. Huko hakuna mauzo yatakayofanyika kwa sababu biashara inategemeana na uwingi wa watu. Wamachinga sio wanjinga kiasi hicho. They have got business skills as well.

Hata wawekezaji wa nje wanaokuja Tanzaniania wanaangalia kwanza maeneo ya kuwekeza. Sio tu wewe unaona eneo liko wazi halafu unasema panafaa kibiashara. Hapafai na ndio maaana hilo eneo liko wazi. Kama lingekuwa linafaa wamachinga wangekuwa wameshaenda huko bila hata kulazimishwa.

Viongozi wetu hawataki tu kuwatumikia wananchi wako kimaslahi zaidi!! Kama manispaa inakusanya ushuru na imeweka kwenye vitabu kama vyanzo vya mapato, kwanini basi wasitandike Mwanjelwa Shopping Mall, Kabwe Complex Mall nk ili kukidhi mahitaji ya wamachinga huku wakilipendesha jiji kuliko kuwafanya watu waishi kama wakimbizi.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Pia ukumbuke tatizo la Mbeya ni unique zaidi kwa sababu masoko zaidi ya matatu yaliungua moto. Yote yalifungwa ili yafanyiwe ukarabati baada ya kuungua moto. Cha msingi serikali ingejitahidi wakamilishe angalao soko moja ili kupunguza makali ya maisha. Lakini unawafukuza watu mjini na masoko yamefungwa, what do you expect hasa katika kipindi hiki kigumu chama maisha?

Kwa mfano wanaosema serikali iwapeleke kule Nane Nane nani atakayenunua vitu huko? Unafikiri wananchi watapanda basi kuwafutata wamachinga huko? Mazingira ya kibishara hayaruhusu. Huko hakuna mauzo yatakayofanyika kwa sababu biashara inategemeana na uwingi wa watu. Wamachinga sio wanjinga kiasi hicho. They have got business skills as well.

Hata wawekezaji wa nje wanaokuja Tanzaniania wanaangalia kwanza maeneo ya kuwekeza. Sio tu wewe unaona eneo liko wazi halafu unasema panafaa kibiashara. Hapafai na ndio maaana hilo eneo liko wazi. Kama lingekuwa linafaa wamachinga wangekuwa wameshaenda huko bila hata kulazimishwa.
Unatka kuniambia na soko jipya la Mwanjelwa mmesha lichoma? ama kweli nyinyi mafisadi.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kikao cha serikali na wananchi kimeisha. Mkutano umeisha kwa amani. Hizi ni latest pictures kutoka Mbeya.

mwisho.jpg


majeshi.jpg
 
Unatka kuniambia na soko jipya la Mwanjelwa mmesha lichoma? ama kweli nyinyi mafisadi.

Bahati mbaya Wikipedia haina article juu ya hili soko ungekuta tayari umeshakopi na kupaste hapa. 🙂 Halafu kumbe mafisadi ndio wachoma masoko eh?
 
Unatka kuniambia na soko jipya la Mwanjelwa mmesha lichoma? ama kweli nyinyi mafisadi.

We bıbı one day u gonna confess n beg for apology wıt dıs kınd of nonsense no one can gıv a damn shııt mot.rf..k!
 
sasa jana kilishindikana kitu gani kumuita sugu na kuongea na wananchi??,kulikuwa na umuhimu gani wa kupoteza risasi na mabomu,kutumia mafuta,kuumiza watu n.k wakati tunaweza kumaliza tofauti zetu kwa mazungumzo?ni nani aliyeamrisha kipigo kwa wananchi wa mbeya?
wakuu ifike wakati mtu mmoja awajibike au awajibishwe kwa manufaa ya wengi.kandoro hufai kuongoza mbeya mwambie JK akupeleke ukajaribu bahati kwenye mikoa mipya.mwenzako njolay alihamishwa hamishwa kama wewe nadhani mwisho wake umeuona,sasa ni bora "ukavua kabla ya kuvuliwa"
 
Baada ya vurugu za wamachinga wakidai haki zao za msingi na wakitoa shinikizo kuwa hawataki kuongea na mtu mwingine yoyote zaidi ya rais wao sugu.wakidai kuwa hali itarejea ikiwa haya yafuatayo yatatekelezwa

1. Waakikishiwe kuendelea kufanya biashara katika maeneo yao.
2. Wenzao wote walioshikiliwa na polisi waachiwe bila masharti
3. Wote waliopo hospitali kutokana na majera ya vurugu hizo wapatie matibabu ya hali ya juu.

Baada ya kikao kilichofanyika kati ya sugu na serikali ya mkoa. Kandoro amekubali kutekeleza masharti yote matatu na wamachinga wanarejea katika maeneo yao. Kwasasa sugu anaongea na wapiga kura wake wanamshangilia mbaya.

Big up sugu wapiga kuwa wako wamekupa heshima kubwa sana na hii ni salamu kwa serikali kuwa nguvu ya dola haishindi nguvu ya umma.
Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/192112-hatimaye-mbeya-kumetulia.html
 
Mungu Wangu..!!! Nakosa neno la kukuandikia! Anyway, God for bid you,!

usimlaumu huyo gedo, ana mimba changa! kama genetics zisingeprove kuwa binadamu huzaa na binadamu tu, ningehisi ni ya mbwa wao!
 
Kikao cha serikali na wananchi kimeisha. Mkutano umeisha kwa amani. Hizi ni latest pictures kutoka Mbeya.

mwisho.jpg


majeshi.jpg

duh.,.!!naona unajituma kijana unatembea nalaptop kitaa.
Anakulipa bei gani Nduli willbroad?
 
Back
Top Bottom