EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,347
Kuna haja ya kuwaelimisha wananchi ili watofautishe sheria na siasa.
Serikali inakosea kuwapangia maeneo ya biashara?. No.
Possibly yes. Unajua kabisa biashara ni wateja. Bila wateja hakuna biashara. Kama wewe ni mfanya biashara halafu serikali ikupangie ukafanye biashara kwenye sehemu ambayo haina wateja utakubali kwenda? Ni swali tuu.