Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

Mkuu jarbu na na tecno CX camon hii nihabari nuingine ni zaidi ya sumsung uzijuazo kwisha habari yako
 
Inategemea na matumizi yako mkuu...Kama wewe ni mtu wa kupiga , kupokea simu , Watsaap, Instagram na youtube Tecno sio mbaya saana as long as Speed na power sio issue saaana kwako.
Ila kama una matumizi mazito zaidi ya hapo yaani Games , Detailed photo shoot, kutumia App nyingi kwenye background kwa muda mmoja na matumizi mengine as long as speed na power kwako ni muhimu bhac Tecno haikufahi.
Na kwa hiyo biashara ya k7 (spark) na J3 hapo kweli uliingia mkenge , Atleast ungebadilishana na Camon Cx japo Tecno tecno tu
vipi k9
 
Natumia phatom8 mambo yote byeee siami techno hata common ni nzuri
 
Unashauri nini kwa watumiaji wa Tecno humu ndani?
Ndugu kila mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake,anayeipenda atumie binafsi naona Tecno imesaidia sana watu wengi kumiliki simu janja tofauti ingekuwa shida
 
Mkuu jarbu na na tecno CX camon hii nihabari nuingine ni zaidi ya sumsung uzijuazo kwisha habari yako
Sumsung ni simu aina gani mkuu? Ila kama unamaanisha Samsung ningependa nikuulize ulishawahi kutumia Samsung original?
 
Tecno ni simu bora kwa makundi mawili tu
1.wenye kipato cha kawaida na cha chini.
2.wenye elimu ya kawaida kuhusu tenolojia,yaani wale ambao wanatazama vitu vichache tu mfano WhatsApp,Facebook,messages kupiga na kupokea pamoja na picha.
 
Tecno inamadhaifu yake ila ina mudu matumizi mengi ya watumiaji kwa bei wanazonunua, watu wanaponda ila kwa soko la Afrika ndio inaongoza ikifuatiwa na Samsung
 
Bidhaa inayopatikana kwa wingi (pengine na bei yake ikawa chini mno) maranyingi huwa ni bidhaa isokukuwa bora

Kinyume chake

Bidhaa inayopatikana kwa uchache sokoni (na pengine hata bei yake ikawa ghali) mara nyingi huwa ni bidhaa bora

Na hapo ndo utajua kwanini wanasema...
"Kizuri chajiuza" na
"Kibaya chajitembeza"
Principle of demand and supply
 
Usizifie kitu usichojua kam toka uzaliwe umetumia tecno tumia hizo hiz ndo saiz yako kwa upeo wa mawazo yakk utaziona za maan wauliz wanaozielewa simu hata hao wanaoouza madukan humkut anatumia tecno najuta kuingizwa mkenge
Uliihalibu mwenyewe bhana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom