Alexkayanda7
Member
- Mar 26, 2017
- 8
- 1
Tecno mnyamaa
Nawe umelishwa sumu?tecno hata bure sichukui
E 72 mzee ile kiboko yangu ilianguka ikakata mkanda ndo ilikuwa mwisho wake ila ulikuwa ukipiga picha japo ni megapixel 5 ila ilikuwa ni bombanilienda dukan nikakuta wanauza c9 laki na 80 halaf pemben pana nokia ya batan e72 ya mwaka 2009 kwa bei moja, hata sikujiuliza nikabeba e72 yang, sista akaniuliza "we umelewa?" mwenye duka akamwambia kwa ninavyomuona huyu jamaa angechukua tecno ningeshangaa sana japo ningeuza mana mimi nipo kibiashara. Swear tecno hata bure situmii, kwanza hata uishke haina munkari.