314
JF-Expert Member
- Aug 29, 2016
- 593
- 927
Mkuu jarbu na na tecno CX camon hii nihabari nuingine ni zaidi ya sumsung uzijuazo kwisha habari yako
acha kujipa moyo mkuu mi nimetumia tecno mwezi mmoja tu nikarudi kwa samsung nilio izoea Naamini huwezi kuona tofauti sababu umezoea tecno siku ukitumia hata huawei lazima uwapige chini tecno