Tecno ina Processor gani ya maana ama RAM, huwezi kucompare processor za mediatek na exynos na snadragon. Tecno ni simu ambazo zimetengenezwa kwa material ambayo ni duni.Wewe umejaza app hiyo simu tena ram 1gb usiikashifu huwezi zitumia. Ukitumia simu angalia specs zake kwanza, processor speed na zipo core ngapi.
Wewe umejaza app na kila app inatafuna ram bado data zake zinakula storage, hujajaza personal files hapo. Unategemea nini kama siyo kuganda, hizo simu zipo poa ukiitumia kuendana na uwezo wake.
Hata kama hujaweka Apps nyingi, bado simu yaweza kukusumbua. Ni vyema watu wakanunua simu kutoka ktk makampuni ambayo yanaeleweka kuwa ni ya simu na sio hizi takataka. Kwao kwenyewe China Tecno haziuzwi, umejiuliza kwanini? Kitu kitengenezwe nchini kwako na bado kikakataliwa kuuzwa humohumo.

