Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

Hao mnaoponda Techno mtuambie mlinunua za bei gani?maana kama mlinunua za bei ya chini mnategemea nini. Isije ikawa mnaosifia hizo simu nyingine mnazitumia kama mayai halafu mnajisifia zinadumu kumbe zinadumu kwa sababu mnazibembeleza sana katika matumizi.
Vema Mkuu umewaambia. Kila mtu anakuna anapofikia alafu kikubwa kabisa humu jf ukiingia na simu haionyeshi ni aina gani mtu anatumia maandishi ni Yale Yale mchango ni ule ule simu ni simu jina kelele tu. Kuna hizi techno C8 zina camera matata sana pia charge ni inakaa zaidi ya yote tochi yake ni balaa umeme ulikatika hospital moja hivi binafsi wakawasha sijui vi sumsung vyao na nyinginezo Mzee nikawasha dude wacha wakati wa kuondoka nisiombwe ilale na mgonjwa nikagoma aisee.

Aisee kila ajikune anapofikia na tuheshimiane mjini linakwama ni langu sio lako sijui linatumia technologia gani hilo sijui ila ninachojua ninamiliki simu janja period.
 
Nina min tablets techno P 701 hatariii sanaaaa ,kukariri ndiko kunakotuangusha wabongo
 
-33346706-177490950.jpeg

Ni afadhali hata simu za oukitel ni bora na nafuu kuliko hata hizo Phantom, hii unaipata kwa 400k
1880020956-219442970.jpeg
 
Vema Mkuu umewaambia. Kila mtu anakuna anapofikia alafu kikubwa kabisa humu jf ukiingia na simu haionyeshi ni aina gani mtu anatumia maandishi ni Yale Yale mchango ni ule ule simu ni simu jina kelele tu. Kuna hizi techno C8 zina camera matata sana pia charge ni inakaa zaidi ya yote tochi yake ni balaa umeme ulikatika hospital moja hivi binafsi wakawasha sijui vi sumsung vyao na nyinginezo Mzee nikawasha dude wacha wakati wa kuondoka nisiombwe ilale na mgonjwa nikagoma aisee.

Aisee kila ajikune anapofikia na tuheshimiane mjini linakwama ni langu sio lako sijui linatumia technologia gani hilo sijui ila ninachojua ninamiliki simu janja period.
Hapo kwenye Tochi Sasa
 
  • Thanks
Reactions: J C
kujifanya tu matawi ya juu,,,mwenzio natumia tecno,,mwaka wa tatu,,cjaona tatzo lolote
 
Smartphone zote ni majanga endapo utajaribu kudownload app, video, music na haohao wamejaza mavirusi ili ununue tena nyingine. Unachezea mzungu?
 
Mm Tecno yangu ipo Poa. Nikiingia Opera mini Sina tatizo. Inaonekana mmenunua simu zenu karume, tandale, mbagala za mafungu. Mtajijuuuuuuu mm nafurahia na iPad yangu Tecno
[HASHTAG]#Point[/HASHTAG] of correction tecno hana ipad(Apple product) ana tablets so iPad ni mamb mengin so ukitaj iPad alaf ukaiusihanisha na alaj tekno utakuw unawakosea Apple
 
Mimi nilikuwa na Tecno imenisumbua kama mtoa mdada anavyosema, kustack, kupoteza contact, inakuwa slow sometimes, nimeamia Samsung sina shida sasa hivi
 
Muhame mje iphone huku hakuna matatizo kabisa. NAWASILISHA
iPhone Ni nzuri ila kwa sisi tunaopenda kudownload vitu toka vyanzo mbalimbali kwenye mitandao inatugharimu.

Napenda ku download Movie mpya bure, vitabu, nyimbo na mafaili mbalimbali toka vyanzo tofauti tofauti.......

Lakini kwa kifungo cha iPhone haiwezekani......

Muhimu kila mtu anavigezo vyake kwenye machaguo ya simu.
 
Kila mtu na uwezo wake wa kujikuna, hatuwezi kufanana...sasa ukiniambia nisinunue tecno wakati uwezo wangu ni wa simu hizohizo hapo inakuaje.
Hiyo ndio pointi mkuu kuwa kumiliki Tecno sio mapenzi au ubora bali ni sababu za kiuchumi tu.
 
Tecno ni kifaa cha kurahisisha mawasiliano tu,siwezi kutumia tecno kamwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom