Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

Hakuna simu mbovu duniani kama tecno

Sijaona ubaya wake, Sana sana wewe ndo nakuona mshamba wa kutumia cm.
Nimetumia miaka na miaka, kama hujui kutumia cm usiseme ni mbovu... pye
Ishu sio kutumia miaka na miaka,ishu kufukia matakwa ya mtumiaji,mkuu kwani wewe ulifeli darasa la saba ukajiunga veta? Mana huelewi kabisa halafu sasa Mimi kukutana na mitoto kama wewe ni NOVICHOK tu ya kirusi(,Russia) inawafaa.
 
Ishu sio kutumia miaka na miaka,ishu kufukia matakwa ya mtumiaji,mkuu kwani wewe ulifeli darasa la saba ukajiunga veta? Mana huelewi kabisa halafu sasa Mimi kukutana na mitoto kama wewe ni NOVICHOK tu ya kirusi(,Russia) inawafaa.
Nina akili kiliko hizo za kwako. Nilijua tu. Wengi mtatokwa na mapovu.
Haya. Nina nguo chafu kibao. Endelea kutoa mapovuu
 
Mm Tecno yangu ipo Poa. Nikiingia Opera mini Sina tatizo. Inaonekana mmenunua simu zenu karume, tandale, mbagala za mafungu. Mtajijuuuuuuu mm nafurahia na iPad yangu Tecno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom