Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,274
Kuna kauli fulani za utata ziliwahi kutolewa, tatizo ni pale askari wanapoweza kuzitumia kauli hizo kutimiza uovu huku wakiwa na baraka za mkuu wetu.
Kuna kipindi majambazi wengi walipelekwa porini ili kuonyesha wenzao ama wapi walipoficha silaha zao halafu wakajaribu kutoroka na kupigwa risasi miguuni na kufa !
Long live JF, Asante mkuu