Nani anajukumu la kujua huyu nibraia mwema au huyu ni raia muovu? Na hata kama ni muovu Police nani kawapa malaka ya kumuua? Kauli za raisi zina ukakasiKuna neno hapo alitamka ruksa kuua Raia wema?
Nini vyeo vya kipolisi wengine wameukwaa ujaji kwa kuwaonea wapinzani!!!Kuna upotoshaji mwingi sana anaoufanya Tundu.Hasa la Rais kuruhusu Askari wapandishwe vyeo kwa kuua Raia.
Kilichosemwa na Mhe Rais ni Askari asikamatwe kwa kosa la yeye kupambana na kuhatarisha usalama wake na jambazi!Alienda mbele zaidi katika mapambano ya aina hiyo na wahalifu ni vyema Askari wakapewa kongole na ikibidi wapandishwe vyeo kwa kutimiza wajibu wao vyema.
Sasa sijui huyo Tundu anapata wapi nguvu na ujasiri wa kutuhumu uongo kwa kiwango kile!
Anyway,malipo ya uongo wake soon yatajibu.
Kweli hakuna ni spinning tuKuna upotoshaji mwingi sana anaoufanya Tundu.Hasa la Rais kuruhusu Askari wapandishwe vyeo kwa kuua Raia.
Kilichosemwa na Mhe Rais ni Askari asikamatwe kwa kosa la yeye kupambana na kuhatarisha usalama wake na jambazi!Alienda mbele zaidi katika mapambano ya aina hiyo na wahalifu ni vyema Askari wakapewa kongole na ikibidi wapandishwe vyeo kwa kutimiza wajibu wao vyema.
Sasa sijui huyo Tundu anapata wapi nguvu na ujasiri wa kutuhumu uongo kwa kiwango kile!
Anyway,malipo ya uongo wake soon yatajibu.
Kwani Nani anaweza kuthibitisha huyu ni RAIA mwena au siyo mwema? Kwani wale wauza madini wa ulanga waliouawa na polisi mwanzo si tuluambiwa ni majambazi baadaye ikajulikana walikuwa RAIA wema? Kauli zingine hazina mashikoKuna neno hapo alitamka ruksa kuua Raia wema?
Ulimsikiliza Lissu au umeamua kufuata upepo?Mahakama ndo yenye mamlaka ya kutafsiri huyu ni jambazi au siyo,polisi hana mamlaka hayoSasa kwa nini Tundu asiseme kweli kwamba Mhe Rais hakumaanisha vile na anabaki kusema uongo kwamba Magufuli karuhusu Askari waue Raia wema?
Raia mwemna au Jambazi wana vibao usoni? Mahakama zimeacha kufanya kazi?Kuna neno hapo alitamka ruksa kuua Raia wema?
Waliomuua huyo binti wapo mahakamani ndg.
Yeye yupo majuu anatimiza wajibu wake kama mbunge na mhanga wa kushambuliwa na marisasi 38Kuna upotoshaji mwingi sana anaoufanya Tundu.Hasa la Rais kuruhusu Askari wapandishwe vyeo kwa kuua Raia.
Kilichosemwa na Mhe Rais ni Askari asikamatwe kwa kosa la yeye kupambana na kuhatarisha usalama wake na jambazi!Alienda mbele zaidi katika mapambano ya aina hiyo na wahalifu ni vyema Askari wakapewa kongole na ikibidi wapandishwe vyeo kwa kutimiza wajibu wao vyema.
Sasa sijui huyo Tundu anapata wapi nguvu na ujasiri wa kutuhumu uongo kwa kiwango kile!
Anyway,malipo ya uongo wake soon yatajibu.
Naona sasa mmeanza kukimbilia kigamboniHata kama wana chuki binafsi na Rais lkn isiwe kwa uzushi wa kiwango kile!
Mnatekenyana na kucheka wenyewe
Mkuu salute umemaliza kazi kwa wabishi wote hasa wa kutoka ule ukoo wa panyaKuna kauli fulani za utata ziliwahi kutolewa, tatizo ni pale askari wanapoweza kuzitumia kauli hizo kutimiza uovu huku wakiwa na baraka za mkuu wetu.
Kuna kipindi majambazi wengi walipelekwa porini ili kuonyesha wenzao ama wapi walipoficha silaha zao halafu wakajaribu kutoroka na kupigwa risasi miguuni na kufa !
Sasa umhukumu vipi mtu wakati mahakama haijarhibitishaKuna neno hapo alitamka ruksa kuua Raia wema?
Tulishasema hatutaki good governanceJe ni nani anayeamua mtu fulani ni jambazi au la??
Je unajua wale mapolisi walio muua mdogo wake Heche akiwa amefungwa pingu nao pia waliachiliwa kwa kauli hiyo??
Utawala wa sheria uko wapi??
Punguani
Kuna raia wema washauwawa kwa kisingizio ni majambaziSasa kwa nini Tundu asiseme kweli kwamba Mhe Rais hakumaanisha vile na anabaki kusema uongo kwamba Magufuli karuhusu Askari waue Raia wema?
Hawajapandishwa cheo?Wahusika wapo mahakamani.