Hakuna popote Rais Magufuli aliruhusu Askari wapandishwe vyeo kwa kuua Raia wema!

Kuna upotoshaji mwingi sana anaoufanya Tundu.Hasa la Rais kuruhusu Askari wapandishwe vyeo kwa kuua Raia.

Kilichosemwa na Mhe Rais ni Askari asikamatwe kwa kosa la yeye kupambana na kuhatarisha usalama wake na jambazi!Alienda mbele zaidi katika mapambano ya aina hiyo na wahalifu ni vyema Askari wakapewa kongole na ikibidi wapandishwe vyeo kwa kutimiza wajibu wao vyema.


Sasa sijui huyo Tundu anapata wapi nguvu na ujasiri wa kutuhumu uongo kwa kiwango kile!

Anyway,malipo ya uongo wake soon yatajibu.
Mnajitahidi sana kumsafisha jamaa. Lakini ukweli ni kuwa hotuba anazoziona ni hisia zinamharibia sana. Mara nyingi hujikuta katamka maneno yasiofaa kutamkwa na amiri jeshi. Ukizingatia kauli ya amiri jeshi ni sawa na amri.

Kwa mfano kauli ya kumwambia spika. "Nenda kawatimue ili wakose kinga ya bunge na wakitoka hakika nitadili nao na simtishi mtu". Kauli kama hii unaitoa amiri jeshi unategemea nini ?!. Kama Ile hatuwezi kuwa kwenye front huku mwingine akipinga ni lazima ashughulikiwe.

Kauli ya kupiga marufuku mikutano aliito simple , lakini mbona ma RPC, OCD na DC wameishikilia kama luba?! Kauli ya amiri jeshi ni ya kuchunga sana kwani vyombo vya Dola vinamtii.

Hata akina Mobutu , Moi , Amin hawakuamuru hadharani watu wauawe. Lakini tawala zao zinachkuliwa ni za mauaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwa nini Tundu asiseme kweli kwamba Mhe Rais hakumaanisha vile na anabaki kusema uongo kwamba Magufuli karuhusu Askari waue Raia wema?
Aseme hakumaanisha kwani yeye ndiye anayetafsiri maneno ya rais. Rais alisema na alikosea kunatakiwa kuwepo utawala wa sheria na sio watu wachache kuamua nini kifanyike. Kama kuua.
 
Back
Top Bottom