Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Maajabu hayaishi,miaka michache iliyopita Mbowe alinifaika na ongezeko kubwa la ruzuku kila aliposhauriwa ajenge ofisi yeye na wasaidizi wake walitoa maneno makali eti "chama cha siasa sio jengo au nyumba bali ni imani".
Makamanda badala ya kuhoji walishangilia kwa furaha wakijinasibu kuwa "siasa kwao si ofisi bali ni imani.Pia ikumbukwe shilingi milioni 200 zilizotolewa na Mzee Sabodo kujenga ofisi ziliyeyuka bila maelezo.Nani atawaamini tena Chadema?
Siku za karibuni amezindua kadi zenye hadhi tofauti huku ile ya hadhi ya juu ikiwa na thamani ya shilingi 200,000 huku akijinasibu kuwa makamanda hawana mshahara kwa miezi sita nani ataweza kuchangia?ikumbukwe EL ndiye alikuja na wafuasi waliokuwa na uwezo angalau kuchanga chochote lakini sio makamanda hawa tunawajua.
Halafu Mbowe alivyomjanja haya mambo ya kuchangia chama au ujenzi wa ofisi anazungumza akiwa Shinyanga anajua akizunguza haya maneno Moshi au Arusha ataambulia vitasa.
Nimalize kwa kusema "ajizi nyumba ya njaa".
Maajabu hayaishi,miaka michache iliyopita Mbowe alinifaika na ongezeko kubwa la ruzuku kila aliposhauriwa ajenge ofisi yeye na wasaidizi wake walitoa maneno makali eti "chama cha siasa sio jengo au nyumba bali ni imani".
Makamanda badala ya kuhoji walishangilia kwa furaha wakijinasibu kuwa "siasa kwao si ofisi bali ni imani.Pia ikumbukwe shilingi milioni 200 zilizotolewa na Mzee Sabodo kujenga ofisi ziliyeyuka bila maelezo.Nani atawaamini tena Chadema?
Siku za karibuni amezindua kadi zenye hadhi tofauti huku ile ya hadhi ya juu ikiwa na thamani ya shilingi 200,000 huku akijinasibu kuwa makamanda hawana mshahara kwa miezi sita nani ataweza kuchangia?ikumbukwe EL ndiye alikuja na wafuasi waliokuwa na uwezo angalau kuchanga chochote lakini sio makamanda hawa tunawajua.
Halafu Mbowe alivyomjanja haya mambo ya kuchangia chama au ujenzi wa ofisi anazungumza akiwa Shinyanga anajua akizunguza haya maneno Moshi au Arusha ataambulia vitasa.
Nimalize kwa kusema "ajizi nyumba ya njaa".