Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,127
Habari,
Endapo uchaguzi mkuu utafanyika leo au hiyo 2025, hakuna Mtanzania (ukiondoa tabaka tawala) atampigia kura kiongozi ambaye amemletea tozo za hovyo za miamala ya simu kienyeji. Muamala ambao mtu alikatwa shilingi 2700 sasa anakatwa karibu elfu tano nzima.
Mtanzania wa chini alikuwa akitumiwa elfu 10 ya mboga anatoa elfu tisa sasa anatoa elfu nane.
Huyu Mtanzania ambaye ndiye consumer wa huduma za simu ataambiwa nini ili asahaulishwe machungu haya?
Hapa sizungumzii CCM kurudi madarakani bali nazungumzia kupata kura za ndio.
Maana kupata kura ni jambo moja na kuingia madarakani ni jambo jingine pia.
Rafu walizozicheza CCM kwenye chaguzi za serikali za mitaa, uchaguzi mkuu na chaguzi ndogo ndizo zinazowafanya watutawale watakavyo wakijua kuwa wana uwezo wa kubaki madarakani tutake tusitake.
Endapo uchaguzi mkuu utafanyika leo au hiyo 2025, hakuna Mtanzania (ukiondoa tabaka tawala) atampigia kura kiongozi ambaye amemletea tozo za hovyo za miamala ya simu kienyeji. Muamala ambao mtu alikatwa shilingi 2700 sasa anakatwa karibu elfu tano nzima.
Mtanzania wa chini alikuwa akitumiwa elfu 10 ya mboga anatoa elfu tisa sasa anatoa elfu nane.
Huyu Mtanzania ambaye ndiye consumer wa huduma za simu ataambiwa nini ili asahaulishwe machungu haya?
Hapa sizungumzii CCM kurudi madarakani bali nazungumzia kupata kura za ndio.
Maana kupata kura ni jambo moja na kuingia madarakani ni jambo jingine pia.
Rafu walizozicheza CCM kwenye chaguzi za serikali za mitaa, uchaguzi mkuu na chaguzi ndogo ndizo zinazowafanya watutawale watakavyo wakijua kuwa wana uwezo wa kubaki madarakani tutake tusitake.