King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,433
- 88,780
Ukishavuka 35 basi jua unaelekea uzeeni....Uzee si ugonjwa ni baraka....Shukuru umeitwa mzee kuna wengine wamekosa fursa hiyo ya kuitwa MZEE.
Wewe wa 1975 mwaka huu 2025 unatimiza miaka 50.Nemezaliwa mwaka 1975 nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18,nikiwa namiliki duka la vyakula baadaye nikaanza kumiliki duka la nguo mtaji ukapanda nikiwa na miaka 20 nikawa namiliki haice mbili. super rofo hapo sijao nimepanga naishi na wadogo zangu wawili ni mwendo wa kula bata,pombe mademu na kila kitu
Nimeowa mwaka 2004 nikaanza kujenga namshukuru Mungu nina nyumba tatu na ofisi zangu za Saloon jumla sita
Tatatizo linaanza kutoka kijana, baba, sasa wananita mzee,mfano mnaweza mkizinguana na kijana maana niko freshi nilibahatika kusomea mafunzo ya kareti sasa kijana kama akinizingua nikimpiga mkwara sipendi aniambie samahani mzee,au binti nikimpenda aniambie tu ahsante asiniambie mbona wewe sawa na baba yangu,inauma jamani uzee mbaya
Sawa mzeeNemezaliwa mwaka 1975 nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18,nikiwa namiliki duka la vyakula baadaye nikaanza kumiliki duka la nguo mtaji ukapanda nikiwa na miaka 20 nikawa namiliki haice mbili. super rofo hapo sijao nimepanga naishi na wadogo zangu wawili ni mwendo wa kula bata,pombe mademu na kila kitu
Nimeowa mwaka 2004 nikaanza kujenga namshukuru Mungu nina nyumba tatu na ofisi zangu za Saloon jumla sita
Tatatizo linaanza kutoka kijana, baba, sasa wananita mzee,mfano mnaweza mkizinguana na kijana maana niko freshi nilibahatika kusomea mafunzo ya kareti sasa kijana kama akinizingua nikimpiga mkwara sipendi aniambie samahani mzee,au binti nikimpenda aniambie tu ahsante asiniambie mbona wewe sawa na baba yangu,inauma jamani uzee mbaya
Sio nataka kuitwa kijana,bali sipendi kuitwa mzee,niite jina langu au brother inatosha,huku kuitana mzee ni kuzeeshana bila mpangoUtakuwa kichaa wewe! Miaka hamsini unataka uitwe kijana?
Kuna vile unajiona bado sana afu watu kibao wanakuamkia😁!
Kama yepi?Yaani zamani wakati naponda raha
Tatizo umri unanizuia kufanya yale niliyokuwa nafanya nikiwa kijana
Kabisa sasa hivi piga kimoja wakati wa kulala na ukiweza wakati mzigo unaondoka na usifikirie wala kuwa na wazo la kumridhisha bali furaha ya moyo wako. Unakutana na binti ana miaka 23 ameshatembea na wanaume idadi karibu sana na umri wakekwamba anakumbuka jnsi alivokuwa anapeleka moto akiwa 20+ siyo?
Mimi ni kijana wa 2000 lakini IPO siku nitakuwa Mzee kama wewe maana umri uo tayari ushagonga miaka 50 tayari ni Mzee kubali tu kwamba ushapitwa na ujana mbona ili jambo ni kawaida tu kwenye maisha.Nemezaliwa mwaka 1975 nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18,nikiwa namiliki duka la vyakula baadaye nikaanza kumiliki duka la nguo mtaji ukapanda nikiwa na miaka 20 nikawa namiliki haice mbili. super rofo hapo sijao nimepanga naishi na wadogo zangu wawili ni mwendo wa kula bata,pombe mademu na kila kitu
Nimeowa mwaka 2004 nikaanza kujenga namshukuru Mungu nina nyumba tatu na ofisi zangu za Saloon jumla sita
Tatatizo linaanza kutoka kijana, baba, sasa wananita mzee,mfano mnaweza mkizinguana na kijana maana niko freshi nilibahatika kusomea mafunzo ya kareti sasa kijana kama akinizingua nikimpiga mkwara sipendi aniambie samahani mzee,au binti nikimpenda aniambie tu ahsante asiniambie mbona wewe sawa na baba yangu,inauma jamani uzee mbaya
Ndio maana wastaafu wengi wanakimbilia vijijini penye utulivu sio penye kurupushani kama mjiniTATIZO DOGO hilo FANYA HIVI inshallah.1, usipende KUKAA na wazee SANA. 2 .tumia super black ikibidi. 3 usichomekee. 4 usipende vaa suruali za vitambaa. 5 nyoa ndevu SI lazima au rejea NAMBA 2. .6. usinune KUWA na furaha Pende kutabasamu. Maramojamoja jichanganye na vijana KWENYE mazoezi mpira WA miguu, basket au volleyball. USIFANYE KAZI SANA penda kupumzika pia. ILA Mimi Allah akinijalia kisiwa cha mafia NDO pawe nyumbani KWANGU takaa huko mazingira safi utulivu una pumzika MPAKA choka Yako MJINI pamebanana SANA panazeesha.
Basi nitakuwa na kwita mtoto,hiyo itakaa poa?Nemezaliwa mwaka 1975 nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18,nikiwa namiliki duka la vyakula baadaye nikaanza kumiliki duka la nguo mtaji ukapanda nikiwa na miaka 20 nikawa namiliki haice mbili. super rofo hapo sijao nimepanga naishi na wadogo zangu wawili ni mwendo wa kula bata,pombe mademu na kila kitu
Nimeowa mwaka 2004 nikaanza kujenga namshukuru Mungu nina nyumba tatu na ofisi zangu za Saloon jumla sita
Tatatizo linaanza kutoka kijana, baba, sasa wananita mzee,mfano mnaweza mkizinguana na kijana maana niko freshi nilibahatika kusomea mafunzo ya kareti sasa kijana kama akinizingua nikimpiga mkwara sipendi aniambie samahani mzee,au binti nikimpenda aniambie tu ahsante asiniambie mbona wewe sawa na baba yangu,inauma jamani uzee mbaya
SahihiMtoto wa miaka 7 anamuona Mtoto wa miaka 18 mkubwa ,mtoto wa miaka 18 anamuona wa 25 Mkubwa while yeye anajiona JANK ,wa 25 vile vile anamuona wa 35 ni mkubwa while yeye anajiona bado mdogo,vile vile wa 35 anamuona wa 45 mkubwa while yeye anajiona bado anaita na vile vile wa 45 anamuona wa 55 mkubwa while na yeye anajiona bado ana nguvu ,na wa 55 anamuona wa 65 mkubwa na kuendelea --------Hata wewe ambao sasa hivi una 25 unaona wa 45 wakubwa siku ukifika hiyo 45 utajiona bado MBICHI lakini zamani ulikuwa unawaona watu wenye 45 ni WAZEE..............
Kuna watu wana miili mizuri hadi 55 bado anaonekana JUNK......Nadhani Stress zinazeesha sana ,matatizo yanazeesha sana ,cha msingi zingatia kula vizuri ,mazoezi ,maji kwa wingi ,mboga za majani kwasana ,kumpumzika lazima utakuwa forever young.
Niite patraoBasi nitakuwa na kwita mtoto,hiyo itakaa poa?