Hakuna kitu kinachoniuma kama kuitwa mzee

Hakuna kitu kinachoniuma kama kuitwa mzee

Chai,ww ni mzee kweki miaka 50 ila kwa vile maisha magumu umezeeka zaidi we ni babu
Huna mbele wala nyuma
 
Naunga mkono hoja
Tukiongea ukweli ili kuwapa hamasa vijana wa sasa hivi ambao wanaamini huwezi kutoboa maisha bila shule mnasema tunajigamba,poa bwana huwezi kumrizisha kila mtu
 
Mimi hilo jina silipendi kabisa,ndiyo hivyo kungekuwa na dawa za kuludisha ujana da ingekuwa poa sana,nimebaki na kumbukumbu zangu za zamani unaende sehemu kama Club shangwe lote,ukiende beach furaha yote lakini sasa hivi mda mwingi dukani nyumbani tena bibi yako haniachii nichelewe hata dakika 5 niwe nimeshaludi nyumbani
Huo wivu wa nini, anahofia kuibiwa na vijana wa afu2😂😂
 
Uniite mzee halafu wakati unazaliwa mimi nilikuwa bado sijabalehe tutakosana ujue. Niite mzee kama naweza kukuzaa, vinginevyo inapendeza sana ukiniita braza, anko, mjomba
 
Uniite mzee halafu wakati unazaliwa mimi nilikuwa bado sijabalehe tutakosana ujue. Niite mzee kama naweza kukuzaa, vinginevyo inapendeza sana ukiniita braza, anko, mjomba
 
Uniite mzee halafu wakati unazaliwa mimi nilikuwa bado sijabalehe tutakosana ujue. Niite mzee kama naweza kukuzaa, vinginevyo inapendeza sana ukiniita braza, anko, mjomba
 
Uniite mzee halafu wakati unazaliwa mimi nilikuwa bado sijabalehe tutakosana ujue. Niite mzee kama naweza kukuzaa, vinginevyo inapendeza sana ukiniita braza, anko, mjomba
 
Unaweza ukawa na umri mdogo ukaonekana mzee,ila umri wako we ni mzee kwahiyo usikatae,inawezekana umbile lako pia inaonyesha ni mzee,umeeleza kuwa ulipiga sana bata viwanja na pombe,pombe ndo inafanya mtu aonekane mzee
 
Nemezaliwa mwaka 1975 nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18,nikiwa namiliki duka la vyakula baadaye nikaanza kumiliki duka la nguo mtaji ukapanda nikiwa na miaka 20 nikawa namiliki haice mbili. super rofo hapo sijao nimepanga naishi na wadogo zangu wawili ni mwendo wa kula bata,pombe mademu na kila kitu
Nimeowa mwaka 2004 nikaanza kujenga namshukuru Mungu nina nyumba tatu na ofisi zangu za Saloon jumla sita
Tatatizo linaanza kutoka kijana, baba, sasa wananita mzee,mfano mnaweza mkizinguana na kijana maana niko freshi nilibahatika kusomea mafunzo ya kareti sasa kijana kama akinizingua nikimpiga mkwara sipendi aniambie samahani mzee,au binti nikimpenda aniambie tu ahsante asiniambie mbona wewe sawa na baba yangu,inauma jamani uzee mbaya
Kuna mzee mwenzako humu jf anajiita Mzee wa kupambania, sijajua kama ni mzee kweli au la, na kama ni mzee, sijui anapambania nini Mzee wa kupambania Kuboma
 
Back
Top Bottom