excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
kutoka 1975 mpaka sasa 2025 ni 51 years wewe hakimu wa mchongo?Sasa uko na 51 yrs, badala ya kumshukuru Mungu kufika uzee wewe unakufuru.
Mzee kaa utulie hao mabinti wape hela wakuite baby.
kutoka 1975 mpaka sasa 2025 ni 51 years wewe hakimu wa mchongo?Sasa uko na 51 yrs, badala ya kumshukuru Mungu kufika uzee wewe unakufuru.
Mzee kaa utulie hao mabinti wape hela wakuite baby.
Nashukhuru bwana sometime tunajalibu kuwambia vijana nao watakuja kuwa wazee lakini wajalibu kuwekeza kwenye uzee wao,ukitegemea ajila na fursa za kutafuta zimekuwa ngumu tofauti na enzi zetuWewe ni mzee ila bado una akili za kitoto.
Itakuwa una kitambi wewe ndo maana unaitwa mzee 😂nikimpiga mkwara sipendi aniambie samahani mzee,au binti nikimpenda aniambie tu ahsante asiniambie mbona wewe sawa na baba yangu,inauma jamani uzee mbaya
Mda mwingi najishindia shambanikutoka 1975 mpaka sasa 2025 ni 51 years wewe hakimu wa mchongo?
Hamna mjanja huyo hajazaliwa,wakati kijana nilikuwa nafanya sana mazoezi kwa ajili ya kujilinda na wahuni,maana shughuri zangu zilikuwa za kibabe nimefanya sana mazoezi ya karate mpaka kuwa na mkanda mweuzi sasa wewe jichanganye uoneHamna namna badilika tu usipende ugomvi kama umeshaanza kuitwa mzee , vijana wa sahivi hatuchelewi kukupiga mtama ukivunjika mkono na umri huo mkono hauponi tena
Nimecheka sana kitambi kipoItakuwa una kitambi wewe ndo maana unaitwa mzee 😂
Ahasante bwana ila wewe huwezi kuzeekaPole mzee
Nataka nikukere mzee wanguAhasante bwana ila wewe huwezi kuzeeka
Katika vitu ambavyo sijawi kuvifanya ni hivyo,uanajua mikoani hakuna mambo ya vijiwe labda huko pwani,Wewe ni kikongwe kabisa tulia kwa maelezo yako ulivyojitafuta huko nyuma kucheza golf unastahili ila ungeruka ruka ningeanza kukushauri uanze kucheza drafti,bao na vijiwe vya kahawa
Kwa taarifa yako mzee kwa miaka na umri lakini nimekula vitu nature halafu sikuvaa pampas nazani utakuwa unanielewa mjukuu wanguhonga tukusaidie kula mizigo hio mzee ushazeeka
Yaani hilo sana tu ukitegemea nina Saloon,kunyoa kila wiki,Srub sana pedicure na mambo mengiUwe unajiweka kibrazamen sasa
Basi hapo umetisha, sema hiyo kuitwa mzee nadhani ni kama heshima flani unapewa na hao vijanaYaani hilo sana tu ukitegemea nina Saloon,kunyoa kila wiki,Srub sana pedicure na mambo mengi
Mimi hilo jina silipendi kabisa,ndiyo hivyo kungekuwa na dawa za kuludisha ujana da ingekuwa poa sana,nimebaki na kumbukumbu zangu za zamani unaende sehemu kama Club shangwe lote,ukiende beach furaha yote lakini sasa hivi mda mwingi dukani nyumbani tena bibi yako haniachii nichelewe hata dakika 5 niwe nimeshaludi nyumbaniBasi hapo umetisha, sema hiyo kuitwa mzee nadhani ni kama heshima flani unapewa na hao vijana
sasa nani alivaa pampas wee mzee?Kwa taarifa yako mzee kwa miaka na umri lakini nimekula vitu nature halafu sikuvaa pampas nazani utakuwa unanielewa mjukuu wangu