Hakuna Fao la Kujitoa NSSF duniani kote - Ramadhan Dau

kulingana na sheria za mifuko ya jamii nssf ni moja mifuko kwa ajili ya wafanyakazi wasiokuwa wa kiserikali. Kulingana na juhudi zake kuisapoti serikali kufuta fao la kujitoa, wafanyakazi wengi wanao anza kazi wanajivnga na GEPF ambao nao pia ni mfuko wa mafao anaochukua mpaka wafanyakaz wa sekta binafsi kisheria, pia wao wameruhusu fao la kujitoa. Hivyo GEPF Wameona hiyo opportunity. Mifuko ya pension na lapf wao wanalindwa na sheria kwa kuwa mfanyakaz wa serikali pensionable kazma awae member wa pspf na local gvt lazm awe member wa lapf. Therefore nssf ceo doesnt think strategical
 
mtu amalize mkataba wa kazi, kwa sababu hana income anakufa kwa stress, eti hela zake zisubirie afe kwa stress then baadae wanufaike warithi. Eti kisingio ndo mifuko ya mafao dunian ndivyo ilivyo! Kwa nini tuige kila kitu? Nchi yetu inahitaji kukua kwa sekta binafsi, hivyo ni vema watu wakimaliza mikataba yao wapewa chao waka invest kukuza sekta binafsi
 
Huyu taahira ni rafiki yake mkubwa na dhaifu hivyo anachokisema huyu bila shaka ni maelekezo toka kwa jamaa
yake,Watanzania jamani tuache kuandamana na kudai haki zetu kwenye mitandao nafikiri ni wakati muafaka wa
kuwaonyesha hawa jamaa kuwa yatosha hawawezi kutuchezea kiasi hiki.Kwa ajira gani Tz anazosema Dau kuwa
ukiachishwa kazi utafute nyingine uendelee kuchangia? Tuanze na hawa mazuzu waliopitisha hii sheria huko bungeni
sijui walikuwa wanawaza kwa kutumia masaburi!!!!!
 
Wakuu na sisi tumezidi uoga wakipumbavu yaani nssf ipo kwa ajili yetu tunashindwa kuwavimbia hawa wanatakiwa kutusikiliza sisi hatuwezi kuishi au kuendesha mashirika yetu kwa kuangalizia nje wakati mazingira ni tofauti hata uchumi pia,hivi hawa wasomi wetu vipi walokwenda shule kutembea yaani watu siwabunifu kabisa wa vyanzo vingine vya mapato,hivi ikitokea wafanyakazi wakagoma kuajiliwa au wakafa wote nashirika nalo kwisha kwani vitega uchumi vyao ni yale tu magorofa labda na mikopo ya miradi ya serikali jamaa wanauzi sana.
 
Mkurugenzi wa NSSF Dr Ramadhan Dau amesema Fao la kujitoa limeondolewa ili kuendana na mfumo wa kimataifa kwani duniani kote hakuna Fao la kujitoa.

Amesema hata Zanzibar na Kenya hakuna kitu kama hicho.

Mkurugenzi huyo alitoa tamko hilo alipokuwa akihojiwa na Kamati ya bunge ya mashirika ya umma inayoongozwa na Zitto Kabwe.

Source: ITV Habari

sasa ikitokea mtumishi akahama mfuko mmoja na kujiunda mwengine hapo inakuweje! hivi kweli akija kustaafu watamlipa hayo mafao yake kweli, ambayo kwa wakati huo tena itakua kama hela ya pipi tu!!
 
Jamani een huo ndo wakati wa kulinda heshima ya wananchi naona hii serikali ya kijinga haituthamini watu wake
 
Sijamsikia, lakini naamini kuna tofauti kubwa kati ya mifuko ya hapa tz na hizo nchi nyingine ambazo mifuko ya nchi hizo huwasaidia wanachama wake kwa kiasi fulani cha pesa pindi wanapokosa kazi, kwa mfano labda asilimia 30 ya uliokuwa mshahara wako kabla ya kukosa kazi. Kama watarekebisha na hilo watakuwa wametumia vichwa kufikiri na sio kufugia nywele.
 
Huyu ndugu Dau, ameonyesha udhaifu wake, kuwa hanauwezo wakuendesha taasisi kubwa kama NSSF, kwani ulaya na Tanzania ni vitu wili tofauti kiuchumi, pia desturi tunatofautiana sana. Na kwanini nchi nyingine wasiige kutoka kwetu. Maelezo yake hayana mantiki wala tija, hanaufahamu na siyo mbunifu. Elimu yake ni bure kabisa. Watanzania wote tushikamane na kuwa wamoja kupinga upuuzi wa ndugu Dau.
 
Mambo yanayo waumiza wa TZ wanasingizia kuiga kutoka Nje, mbona mambo kama kupambana na rushwa, ufisadi, wizi, kusamehe majambazi, kuto kuwajibika, uzinzi wa viongozi na mengine mengi ya Kishetani hawasemi wanaiga Nje.
 
Jamani hivi mtu katoka mgodini(mwanafunzi), alikuwa anakatwa nssf naye asubiri miaka 60?

Mgodini wanafukuza na kuajiri kila siku,hao wachimbaji waliofukuzwa watapata lini mafao yao?

Je makampuni ya madini yana uwezekano wa kuendesha mgodi kwa miaka tajwa na nssf?

Kuna viongozi wanakuwa hawajui mazingira halisi ya wafanyakazi,na wakiendelea namsimamo wao ya RSA yatatokea TZ.

Sina hakika kama ulimsikiliza na kumwelewa vizuri? fao la kujitoa duniani kote halipo hata zanzibar, kenya na nk kwa sababu tu hizi social security system zinaanzishwa kwa objective maalum hasa kimsingi ni kumuwezesha huyu mtu kumudu maisha yake ya uzeeni nk ningekushauri usome pia sheria yetu ya SOCIAL SECURITY REGULATION YA MWAKA 2008, RETIREMENT BENEFIT ACT 2009
 
hiv ni kwa nn wabunge wakimaliza mda wao wa ubunge wanaondoka na mafao yao tena fasta kabla hata bunge halijavunjwa?
 
Wachangiaji wa mfuko ni sisi wafanyakazi na mafao ni yetu pia. Dau ni kibaraka wetu. Anapata wapi mamlaka ya kufanya maamuzi kinyume na matakwamya wachangiaji wa mafao haya! kimsingia wadau wana haki ya kuamua hatima ya mafao yao. Tatizo la nchi hii, watu wakipewa wajibu wanajiona kama wamiliki wa haki za watu, na kwamba wana mamlaka ya kuamua watakavyo bila kuheshimu mawazo ya wamiliki aw haki hizo. Kama wafanyakazi tutashindwa kuamka na kuudhihirishia umma kuwa mifuko hii ni miliki yetu na si dau, serikali wala nynyiem, basi nitaamini kuwa taifa hili ni mfu, na jamii nayo ni mfu!
 
Mkurugenzi wa NSSF Dr Ramadhan Dau amesema Fao la kujitoa limeondolewa ili kuendana na mfumo wa kimataifa kwani duniani kote hakuna Fao la kujitoa.

Amesema hata Zanzibar na Kenya hakuna kitu kama hicho.

Mkurugenzi huyo alitoa tamko hilo alipokuwa akihojiwa na Kamati ya bunge ya mashirika ya umma inayoongozwa na Zitto Kabwe.

Source: ITV Habari

Ni lini Dau aligundua duniani kote hakuna fao la kujitoa?
 
Toka lini watu wa Mafia wakawaviongozi bora. Huyu bwan dau kuendesha ngalawa na sio dr wa kuwaongoza watanzania. Na laaana iwe juu yake. Sooon naenda katisha mafao yangu. Niliyo toa nitachukua watakavyo panga. Lol
 
Yaani kwenye NSSF yangu nitaandamano mpaka waniue, na chadema musipo tuunga mkono kwa uwizi huu hatutaelewa kabisa..mimi nasubiri hilo bunge watuambie mambo ya kisenge tuingie barabrani no porojo...wameiba za epa,Richmond,Meremeta...tumewatanzama sasa wamekuja kwenye jasho letu la moja kwamoja..
 
Kuna matatizo mawili:

a. NSSF inaangaliwa na baadhi ya watu kama taasisi kubwa ya uwezekezaji.
b. Kutokana na hilo la "a" dhana ya "social security" inakuwa ni ya pili au ya tatu nyuma. Mfanyakazi aliyechangia kwa muda kwenye SSF na akapoteza kazi kwa sababu yoyote (ukiondoa kifo au ugonjwa) na anatafuta kazi nyingine anakuwa na 'social security" gani?

Kwenye baadhi ya nchi kama Marekani kuna hiki kinaitwa "unemployment benefit" which I believe ni equivalent ya hilo fao la kujitoa. Ni muhimu basi kwa NSSF na wanachama wake kukaa chini na kuamua ni aina gani ya unemployment benefits zitakuwa available kwa mfanyakazi aliyeachishwa kazi. Hili linahusu usalama wa kijamii au HIfadhi ya kijamii.

Fao hili linatarajiwa liwe kwa mfano kwa miezi mingapi mtu atalipwa unemployment benefits wakati anatafuta kazi.

Lakini tatizo kubwa ambalo halijaangaliwa ni kuwa NSSF haikupaswa iwe mfuko wa hifadhi ya jamii. Ndio maana wengine tunasema sera za CCM zimeshindwa. Binafsi naamini ilipaswa iwe Mamlaka (authority) ya hifadhi ya Jamii ikiwa ni taasisi ya serikali ambayo inasimamia Social Security peke yake. Upande mwingine wa huo mfuko ambao ungetaka kuhusika na uwezekaji ungeongozwa na sheria nyingine kabisa na utaratibu mwingine sivyo kama ilivyo sasa.

Lakini watu bado wanaangalia CCM na sera zake kama suluhisho!
 
hapo kwenye red ndipo penye maoni yenu yote.Afadhali wewe umekuwa wazi.Uzuri wa wagalatia hawawezi ficha hisia za chuki zao dhidi ya wengine wasio kuwa wao.Mtaumia sana jamaa anamafanikio makubwa sanaafrika anaongoza ktk mifuko ya kijamii na wengine wanakuja kujifunza kwake
Huyu kilaza Dau ni janga sana kwa taifa letu na pia ana udini sana. Natamani 2015 ifike haraka ili tumuondoe hapo haraka sana.
 
huyu chizi kweli hajui huko maulaya watu wakipoteza kazi wanaendelea kulipwa pesa ya kujikimu wanapokuwa wanatafuta kazi nyingine?mbona hilo hawajaiga?
 
Back
Top Bottom