Hakuna Fao la Kujitoa NSSF duniani kote - Ramadhan Dau

huyo naye hajitambui kwani ni lazima sheria za mafao zilingane na za nchi zingine? anamaanisha kila kitu kilichoko katika sheria ya mafao kama kenya ni sawa na tanzania? tatizo hizi sheria haziwagusi ndiyo maana wanatapika ipo siku samaki watachoka kuvumilia ndio chanzo cha watu kujichukuli sheria mikononi kwani kila kona kero, haswa ukiwa mtu wa hali ya chini kipato kidogo halafu bado wanaleta siasa kwenye haki za watu.
 
Kwani life expectance ya Mtanzania kwa sasa ni miaka mingapi mpaka watake tusubiri hiyo miaka 55?
 
Yaani kusema ukweli mimi siamini nasubiri form zangu za NSSF zijazwe vizuri then niende NSSF na faili la ugonjwa wa kupelekwa India then waniambie kama natakiwa nifie hapa Tanzania ama nipewe hela yangu nikatibiwe yaani ni so simple wala hakuna kuumizana kichwa maana nchi ishakuwa ya ki..nge tayari na wanafikiri watu wote ni wa..nge ndo maana
 
Ili sio la kusubilia kama kutulipua mabomu watulipue haki yetu ipatikane na kama moto na uwake sasa akuna kutoa mfano wa nchi nyingine wakati hata huduma muhimu azifanani ili sio punga kweli?
 
Huyu jamaa anaongea upuuzi kabisa hivi nilini tutajitengezezea sheria nzuri zinazoendana na mazingira yetu kwa maendelea yetu na wananchi wetu,nini maana ya watu kama hawa kuelimika kama kilakitu wanakopy na kupeste bila kuangalia wananchi wanafaidika nini.Kwanini ni nini madhumuni ya kuwa na hii mifuko ipo kwa ajili ya nani?kama mlengwa hafaidiki nayo kwanini iwepo?
 
Pesa ya kwangu na kwa jasho langu, kuchukua nipewe masharti?! Hii inawezekana kweli? Kama ni hivyo wanataka basi na iwe hiari kujiunga na hiyo mifuko ya jamii. Halafu sheria hii iwabane hata wabunge ili nao wakimaliza miaka yao mitano wasubiri hadi wafike miaka sitini (60) ndio wapewe mafao yao. Au labda wabunge wapo juu ya sheria na taratibu za nchi? Huu ni wizi wa wazi wa serikali ya ccm kwa raia wake. Believe me, ccm itaondoka kwa mizaha kama hii kwa wananchi masikini wasio na hatia.
 
huyu dau nawasiwasi sana na uwezo wake wa kufikiri,yaani anamawazo mgando,kwann kila ki2 tukop na kupest kwa watu,kwa nn na cc tusianzishe chetu watu watuige,kwa kweli huyu dau ni janga la kitaifa hafai kbs kuwa mfano wa kuigwa naungana na mzee msema kweli laani na iwe juu yake Mungu ampige na laana ya majipu yasiyopona kwenye makalio yake ili asiweze tena kukalia kiti cha dg wa NSSF labda atakaekuja badala yk atakuwa mzalendo.

Mkuu wangu kweli una uchungu.
 
Ukweli vjana ili sio la kulifumbia macho hata kidogo twendeni tukawafungie wasiingie mjengoni wabunge wote. Na icho kibibi kisicho na mtoto wa kulisi kitasema ilo jambo litajadiliwa kikao kijacho uyo ndugai ovyo ji,boni kwake watu awana maji yeye kalizika kukaa kwene kiti cha kuzunguka.
 
Pesa ya kwangu na kwa jasho langu, kuchukua nipewe masharti?! Hii inawezekana kweli? Kama ni hivyo wanataka basi na iwe hiari kujiunga na hiyo mifuko ya jamii. Halafu sheria hii iwabane hata wabunge ili nao wakimaliza miaka yao mitano wasubiri hadi wafike miaka sitini (60) ndio wapewe mafao yao. Au labda wabunge wapo juu ya sheria na taratibu za nchi? Huu ni wizi wa wazi wa serikali ya ccm kwa raia wake. Believe me, ccm itaondoka kwa mizaha kama hii kwa wananchi masikini wasio na hatia.

Nawashauri Serikali ya CCM watende kile wananchi wanachotaka
 
Kwani life expectance ya Mtanzania kwa sasa ni miaka mingapi mpaka watake tusubiri hiyo miaka 55?
 
Serikali ya kidhalimu hudhulumu raia wake haki na stahili zao hadi kuanguka kwake. Tafadhali nawasihi wafanya kazi wenzangu tuache maneno mengi, tuamke, tuungane na tuingie mtaani/barabarani tuandamane hadi kieleweke!
 
Pamoja na udokita wake "amezoea kukopi na kupaste" na anawaza kuwa JAMBO ZURI HALIWEZI KUANZIA TZ wala mambo au taratibu zilizopo haziwezi kurekebishwa na Tanzania.
Kweli "uchungu wa mwana aujua mzazi".

Hivi huyu ni dr. wapi kilaza mkubwa?kama amekopy na kupaste vitu kutoka ulaya kwa nini amekopy kuzuia fao la kujitoa akaacha la kulipwa mshahara na mahitaji mengine unapokuwa huna ajira???nyambaffffff tutawakaba mpaka watupe pesa yetu wallah!!
 
nimeona na zitto kama kakubaliana na huyu muuguzi/dokita, au ni aje wakuu!!!
 
Nawashauri Serikali ya CCM watende kile wananchi wanachotaka

brother kwa sasa siamini kama tuna serikali! Badala yake tuna genge la wezi na manyanganyi ya rasilimali za taifa pamoja na nguvu kazi ya raia wasio na kitu.. Uoga na upole wetu umekuwa mtaji wa hawa majizi ccm na dhaifu wao. Wakae wakijua siku wananchi wakiamka moto utawaka na watakosa pa kujificha..
 
Hivi huyu ni dr. wapi kilaza mkubwa?kama amekopy na kupaste vitu kutoka ulaya kwa nini amekopy kuzuia fao la kujitoa akaacha la kulipwa mshahara na mahitaji mengine unapokuwa huna ajira???nyambaffffff tutawakaba mpaka watupe pesa yetu wallah!!

nakuunga mkono brother, kama anataka kuiga kwa wenzetu basi na aanze la kulipa mishahara raia wasio na ajira kama wafanyavyo wenzetu wa magaribi. Sioni kinachotuzuia kufanya hivyo kwa kuwa tuna rasilimali za kutosheleza haja ya kufanya hivyo.
 
Huyu ni mjinga mmoja anaitwa Dau wa NSSF,rafiki yake Mr dhaifu,nafikiri ni wakati ambao watanzania
tunapaswa kuacha kelele kwenye mitandao,lets take action,naona wanatikisa kiberiti waone kama
kimejaa au la,kama hawatapeleka mswaada bungeni this time,ni wakati wa kuanza na hawa wapu...vu
wachache walioweka akili zao likizo huko bungeni na kupitisha sheria ya kijinga kama hii,bila kujali kuwa sisi
ndio tumewapeleka huko.Wafanyakazi TUAMKE YATOSHA".
 
Eti hakuna fao la kujitoa duniani kote?! kwani NSSF iko duniani kote?!
Kwani fomula wanayotumia kutupatia mafao yetu ni ya kimataifa au ya kwao pekee?!
Kwani nssf inaendeshwa na sheria za kimataifa au ina taratibu na sheria zake?

Watu wavivu wa kufikiri hunikera sana, kwa hiyo kama iko kimataifa katika mazingira yetu pia 'lazima' itumike?!
 
Hii inaonyesha jinsi serikali yetu ilivyo maskini wa akili na fedha, siyo lazima tuige nchi nyingine ila Bunge lipitishe yaliyo na manufaa kwa wananchi. Najaribu kufikiria hela yangu kama ni 2m nimechanga mpaka leo, kesho kazi imeisha baada ya 30 watanipa 2m bila interest kwani miradi wanayofanya NSSF ni ya hasara na hela nyingi zinaenda kufadhili CCM kwenye kampeni na wachache wananufaika na mikopo ya wachangiaji bila consent yao. Kama kweli wana nia nzuri na sisi basi benefits nyingine zitolewe pale utapokuwa huna kazi ..unemployment benefits. Huwezi kuwaambia waTZ kuwa kazi ikiisha unatafuta nyingine, ajira ziko wapi siku hizi? migodi muda si mrefu wanamaliza kazi, sekta binafsi ni % ndogo sana, serikali imeuza viwanda karibu vyote bado anasema utafute kazi wapi. Hii kwa viongozi wa serikali na wabunge hata wakisubiri 35yrs bado wanapata marupuru kama kawaida..kina Mwinyi, Mkapa, soon JK unategemea wataleta pingamizi.
 
Back
Top Bottom