Mimi nimeshangazwa sana na hatua ya serikali kuruhusu mfuko mmoja kutoa fao la kujitoa.Naona labda serikali imefanya hivyo kwa kujua kwamba imeshafilisi hii mifuko mingine sasa inaona labda watu wakitaka kuchukua pesa zao itakuwa noma.Hii serikali hamna jambo lolote zuri inaweza kufanya,kwani haina uchungu na wananchi wake,wako kimaslahi zaidi.