secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 22,478
- 46,990
Wamefanya ujinga kabisa.
Aiseeee!Upate mshangazi Corporate tajiri kweli kweli unakupa kila kitu hutapiga magoti??
Hii yote njaa!
Tanzania viongozi wenye utajiri ndo wanaogopa maisha ila maskini watu wa kawaida hwaogopi maishaHii yote njaa!
Kama mtu anakuwa na plan B ya kuishi hawezi fanya huo ujinga hata kama mimi nina hela yangu ya kula kushiba nimpigie mwanadamu mwenzangu magoti?hell no!
Kwahiyo hapo anavishwa Pete wakati eda hajamaliza....Sijui kwa nini Hili jambo la baadhi ya wanaume kama vile Chalamila, Bashungwa na Mwigulu kumpigia magoti Samia limewakera hivi baadhi ya watu!
Mbona wanaume huwa wanawapigia magoti wanawake wakati wanawavalisha Pete za uchumba?
Kama unaweza kumpigia mwanamke ambaye huendi kupata chochote cha manufaa kutoka kwake kipi cha ajabu kumpigia magoti mtu anayeweza kukupa au kukufuta kazi inayokupatia mabilioni ya pesa!
View attachment 3668183View attachment 3668184View attachment 3668185
Neno "bow"/inama kidogo/kujipinda limekosa utekelezaji kwa vitendo.Sijaona umuhimu wa hii mada
Mbona hamuulizi kuwa wengi wao wamevaa kanzu?
Mama ameketi, hivyo ukitaka kuongea naye kitu kwa karibu. Huwezi kusimama
"When in Rome, do as the Romans do" means you should follow the local customs and traditions of the place you are visiting
Mbona wengine hawapigi magoti na ni wa eneo hilo?Mbona hamuulizi kuwa wengi wao wamevaa kanzu?
Mama ameketi, hivyo ukitaka kuongea naye kitu kwa karibu. Huwezi kusimama
"When in Rome, do as the Romans do" means you should follow the local customs and traditions of the place you are visiting
Sasa wewe unavyokerwa na na mtindo wa maisha wa mwanaume Lissu wa kupigania haki huwa unakuwa mwanamke?mwanaume kukerwa na mtindo wa maisha ya wanaume wengine ni kitu useless sana gentleman 🐒
Kwa hiyo unafikiri PM ana njaa? Kua uyaoneHii yote njaa!
Kama mtu anakuwa na plan B ya kuishi hawezi fanya huo ujinga hata kama mimi nina hela yangu ya kula kushiba nimpigie mwanadamu mwenzangu magoti?hell no!
labda anapigania haki za wale wa jinsia moja gentleman kwa niaba ya mabwenyenye ya magharibi 🐒Sasa wewe unavyokerwa na na mtindo wa maisha wa mwanaume Lissu wa kupigania haki huwa unakuwa mwanamke?
Unasemaje wewe?tena huyo ana njaa kukuzidi wewe.Kwa hiyo unafikiri PM ana njaa? Kua uyaone
Ukisngalia vizuri, waliopiga Magoti wote hapo ni wale wanaojinasibisha na dini ya Ukristo. Sidhani kama kuna Mtanzania Muislam aliyepiga magoti, labda kama sijamuona
Hapigiwi magoti mwanamke bali raisPicha bro, tuwaone wanavyopiga magoti.....
Uchawa wa kutafuta kuteuliwa. Akitoka kwenye madaraka watampigia magoti? We vipi na low thinking!Sijui kwa nini Hili jambo la baadhi ya wanaume kama vile Chalamila, Bashungwa na Mwigulu kumpigia magoti Samia limewakera hivi baadhi ya watu!
Mbona wanaume huwa wanawapigia magoti wanawake wakati wanawavalisha Pete za uchumba?
Kama unaweza kumpigia mwanamke ambaye huendi kupata chochote cha manufaa kutoka kwake kipi cha ajabu kumpigia magoti mtu anayeweza kukupa au kukufuta kazi inayokupatia mabilioni ya pesa!
View attachment 3668183View attachment 3668184View attachment 3668185
Huyu Mzee aliepigiwa magoti ndio yule Marehemu wa kule Zambia ambae mwili wake wanafamilia waligoma usirudishwe Zambia kutoka SA