Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,351
YesMkuu no one is perfect is my blood people always wamekuwa NAMI kwenye Hali zote za furaha au huzuni even praying for my success kuliko watu wengine
YesMkuu no one is perfect is my blood people always wamekuwa NAMI kwenye Hali zote za furaha au huzuni even praying for my success kuliko watu wengine
Shukuru kupata ndugu safi.Mkuu no one is perfect is my blood people always wamekuwa NAMI kwenye Hali zote za furaha au huzuni even praying for my success kuliko watu wengine
Umewahi kubadilikiwa niniMama mzazi aweza kukupenda ila ukimzingua na yeye aweza kukubadilikia.












maisha nikuishi na kujifunza ,tunaishi ili kujifunza ,na Tunajifunza ili tuishi,
maisha haya kumejaa watu wengi masnitch ,kunzia ndgu jamaa hata marafiki ,wote sio wakuwaamini ,
wapo ambao wanapenda wakusikie una shida ili wakusaidie ,hawatapenda kukuona ukipata wanachotaka wao siku zote uwe chini yao ,
.wapo ambao kila siku wao ndo wenye shida na kupenda kusaidiwa wao ,hata kama watapata ,basi hawatoweza kukusaidia ,kama ntapata elfu 50 wote basi itatumika ya kwako yake itabaki ,
kuna mengi nimepitia ,toka kwa ndugu jamaa na marafiki ,yamenifunza nikusimama na Nafsi yangu familia yangu na watoto wangu ,yaan wamenifanya niwe m'binafsi kuangalia maslahi yangu kwanza kabla ya mtu yeyote ,maana hata wao hawajali ya kwako





nyoka mzeeYeye anamaanisha hahitaji msaada wa marafiki, ila wa mke na wazazi ni LAZIMA.Mkuu kuna wakati hata uwe na kila kitu au uwe na uwezo vipi,lkn utahitaji tu msaada kutoka kwa mtu mwingine.Fikiri mfano upo gerezani utawezaje kutoka bila kumtegemea ndugu yako wa Karibu au mzazi wako au mkeo?.
Humpendi hata mwanao?I agree,tena wengine ni mashetani sio binadamu
Kwa hiyo baada ya kujua hukutaka kuwa na rafiki hapo ulipokuwa kijana mdogo?Hili mie nililijua nikiwa kijana mdogo Sana. Hata suala la mke nilikuwa namcheki he huyu ulipatwa na magumu atakuwa na wewe bega kwa bega.
Sawa Mkuu, Wewe usiye mshamba mshamba.Usilolijua ni usiku wa giza.Ila upande fulani upo sahihi. Sijui ni ushamba wa kujifanya kujua jua watu, au kuzoeana zoeana na watu hivyo au nini??? Yaani tumekutana kwenye kazi, vilabuni n.k, halafu unalalamika hujasaidiwa? Tatizo watu wana ushamba mwingi wa mikoa na shobo nyingi.
Watu wanafanya wrong selection ya company ya kusaidiana nayo kwenye shida na raha, kabla hawajalaumu ni vema wajifunze kuchagua watu husika wa kuahirikiana nao. Wakiweza hivyo, hakutakuwa na malalamiko yao, ushamba ushamba tu!
Ok.Yeye anamaanisha hahitaji msaada wa marafiki, ila wa mke na wazazi ni LAZIMA.
Kweli,Inatupasa kuomba MUNGU ili tuweze kupata marafiki wa kweli wasio vigeu geu.Mkuu haijalishi marafiki wangapi watakuangisha,marafiki ni kama vitabu kupata kitabu kizuri ndio kazi lakini kwa vyoyote na kwa chochote huwezi fanikiwa pasipo misaada ya ndugu,jamaa na marafiki.
Naam shida ni kipimo kisichodanganya.Matatizo yanatusaidia kujua nani rafiki au nani ndugu wa kweli?
Wewe umempata?Wapo mbona sema wew haujampaya aliye sahihi ndugu
HakikaSahihi kabisa, nadhani ndio maana Wanafalsafa waliwa kusema "The strongest man stends alone".
SureMwenye upendo wa pekee ni mama yako mzazi pekee
The problem you can't tell from their faces. Yanakukenulia kenulia mimeno tu ndani kwa ndani yana maumivu makali sana.I agree,tena wengine ni mashetani sio binadamu
Upo sahihi, kwasababu km aliweza kukuzaa na kisha kukulea,kwa vyovyote vile anakupenda.Mama yangu nina uhakika asilimia![]()