maisha nikuishi na kujifunza ,tunaishi ili kujifunza ,na Tunajifunza ili tuishi,
maisha haya kumejaa watu wengi masnitch ,kunzia ndgu jamaa hata marafiki ,wote sio wakuwaamini ,
wapo ambao wanapenda wakusikie una shida ili wakusaidie ,hawatapenda kukuona ukipata wanachotaka wao siku zote uwe chini yao ,
.wapo ambao kila siku wao ndo wenye shida na kupenda kusaidiwa wao ,hata kama watapata ,basi hawatoweza kukusaidia ,kama ntapata elfu 50 wote basi itatumika ya kwako yake itabaki ,
kuna mengi nimepitia ,toka kwa ndugu jamaa na marafiki ,yamenifunza nikusimama na Nafsi yangu familia yangu na watoto wangu ,yaan wamenifanya niwe m'binafsi kuangalia maslahi yangu kwanza kabla ya mtu yeyote ,maana hata wao hawajali ya kwako