fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,415
- 7,968
Kwa zaidi ya wiki 6 nimesimamia mazungumzo ya kaka mmoja mchagga na dada Mhaya.
Wana elimu nzuri wana kazi nzuri, lakini dosari ndogo miongoni mwao,mpango umevunjika rasmi,ama nimeumia rohoni sana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana elimu nzuri wana kazi nzuri, lakini dosari ndogo miongoni mwao,mpango umevunjika rasmi,ama nimeumia rohoni sana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app