Sasa huu ni utetezi gani?
inaonekana wakati hunaajira watu walikula sana tigo yako... utetezi wako ni cheap kabisa..alafu nani kakwambia sio muislam kama tatizo ni jina wapo wakristo wengi tu wenye majina ya kiislam,na pia wapo waislam wenye majina ya kikristo na mifano hai ninayo..huyo jamaa ni muislam huwezi mpata mkristo gaidi kwaajili ya kuupigania uislam hata kama kuna tatizo la ajira kiasi ganiKila mwaka vyuo vinatoa wasomi wangapi? elimu waliyoipata imewasaidia nini? je serikali zetu zinawasaidiaje? akitokea mtu kuwarubuni kwa pesa nyingi watakataa? huyu gaidi wanayedai ni mtanzania naye ni msilamu? usiangalie ulipoangukia mkuu angalia wapi ulipojikwaa ukosaji wa ajira kwa vijana nao unachangia sana
Uislamu haukwepeki hapa, tuache masihara, wanafunzi waliouliwa kenya walishindwa kurecite quran kuthibitisha kuwa ni waislamu!
Gaidi ni..A person, group, or organization that uses violent action, or the threat of violent action, to further political goals (According to my English dictionary)..tuache kuingiza dini kwenye swala la ugaidi. Tudumishe utaifa wetu.
Kama ni hivyo wakija bongo wataua karibu watu wote. Maana bongo dini zimebaki midomoni tu
Kwa hiyo pale chuo watakuwa wamewaua waislam feki wengi tu
I hate all muslims for the rest of my life
ni heri basi tuone Waisilamu wangine wangepinga tukio hili kimya, ingekuwa ndege za Israeli palestina ungeona maandamano kila konaUmeanza kukosa uwezo wa kufikiri, sasa kuwachukia waislam wote ndo nini unataka kusema, unaanza ubaguzi wa kidini?
Wachukie Al-shabab ndo walifanya mauaji sio uislamu.
Be careful COMMON SENSE IS NOT COMMON
I hate all muslims for the rest of my life[/QUOTE
That's your problem
Nilisikia wakenya wanalalamika kuwa Alshabaab wanarecruit graduates wakati jeshi lao linarecruit standard 8 failures.
Nilisikia wakenya wanalalamika kuwa Alshabaab wanarecruit graduates wakati jeshi lao linarecruit standard 8 failures.
inaonekana wakati hunaajira watu walikula sana tigo yako... utetezi wako ni cheap kabisa..alafu nani kakwambia sio muislam kama tatizo ni jina wapo wakristo wengi tu wenye majina ya kiislam,na pia wapo waislam wenye majina ya kikristo na mifano hai ninayo..huyo jamaa ni muislam huwezi mpata mkristo gaidi kwaajili ya kuupigania uislam hata kama kuna tatizo la ajira kiasi gani
mfuasi wa gwajima utamjua tuHata uwe na PhD ukiwa pande hizo hasara!