Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,853
- 41,180
Mzazi wake ana hasara kubwa
Kwa staili hiyo utalamba sana ndimu mpaka ziote tumboni.....I hate all muslims for the rest of my life
Umeanza kukosa uwezo wa kufikiri, sasa kuwachukia waislam wote ndo nini unataka kusema, unaanza ubaguzi wa kidini?
Wachukie Al-shabab ndo walifanya mauaji sio uislamu.
Be careful COMMON SENSE IS NOT COMMON
Inasemekana alipoenda likizo kwao Somalia, alikuta Familia yao karibu yote imetekezwa kwa mabomu ya jeshi la Kenya.
Inasemekana alipoenda likizo kwao Somalia, alikuta Familia yao karibu yote imetekezwa kwa mabomu ya jeshi la Kenya.
Familia yao gani ya somalia banaa, wakati huyo jamaa ni mtoto wa chifu mmoja wa Huko mandera county Kenya??Inasemekana alipoenda likizo kwao Somalia, alikuta Familia yao karibu yote imetekezwa kwa mabomu ya jeshi la Kenya.
I hate all muslims for the rest of my life
Tatizo la ajira kwa graduates linapelekea vijana waliokata tamaa kujiunga na makundi ya kihuni kama hili la alshabaab.
I hate all muslims for the rest of my life
Familia...Watu wako vitani vita haina macho.kenyans are killing people in somalia TUSIWE BIAS
Damu nzito kuliko maji.
Unasoma nae, unakula nae, unacheza nae, unalala nae, halafu unakwenda kumuulia ndugu zake? na yeye anabaki anacheka tu na wewe? Fikiri.
Zaidi ya 10% ya Wakenya ni wenye asili ya Kisomali, kazi ipo. Tutayasikia mengi sana ya namna hiyo.
Hata shujaa wa west gate ni Msomali. Hapo sasa!
Damu nzito kuliko maji.
Unasoma nae, unakula nae, unacheza nae, unalala nae, halafu unakwenda kumuulia ndugu zake? na yeye anabaki anacheka tu na wewe? Fikiri.
Zaidi ya 10% ya Wakenya ni wenye asili ya Kisomali, kazi ipo. Tutayasikia mengi sana ya namna hiyo.
Hata shujaa wa west gate ni Msomali. Hapo sasa!
Kuna Mohammedan mwenzake na huyu ambaye bado anaclaim kuwa uislam sio ugaidi?
I hate all muslims for the rest of my life
shujaa indeed!!!
Hao siwajui mimi.
Nyinyi kawauweni tu ndugu zao na madege ya kivita na manowari za kivita na silaha nzito nzito, mnao zaidi ya Million 10 hapo hapo Kenya, watawaliza sana hao Wasomali.