mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
- Thread starter
- #21
siyo ulaya tu, hata Tanzania ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu ya jambo hili
Mbaya zaidi sasa hivi kuna wanaume wanaodai haki sawa zaidi ya wanawake
Tuliconcentrate kwa mtoto wa kike matokeo yake tumejenga gap kubwa sana. Yaani mtoto wa kiume amesahaulika, nafasi yake ndio inapotea na hilo ndio anguko la familia zetu na jamii nzima