Haki sawa kwa jinsia ya kike kama ilivyo ya kiume haimaanishi kwamba tupo sawa kijinsia

mama D

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
19,738
35,155
Wanawake tushtuke, kwa asili ya mwanadamu kiimani, kisayansi na kwa desturi mwanaume ni msingi na nguzo ya familia.

Wanawake tuendelee kupambana kuwa bora kama wanawake ila tusitamani kuwa wanaume, bali tuwasaidie wanaume kuwa bora zaidi na imara katika nafasi zao.

Tukibeba vibaya maana ya ukweli ya haki sawa tutaishia kutengeneza jamii siyo tuu ya wanaume wa ajabu ajabu bali hata wanawake wa ajabu ajabu.




Muwe na jioni njema
 
Wanawake tushtuke, kwa asili ya mwanadamu kiimani, kisayansi na kwa desturi mwanaume ni msingi na nguzo ya familia

Wanawake tuendelee kupambana kuwa bora kama wanawake ila tusitamani kuwa wanaume; bali tuwasaidie wanaume kuwa bora zaidi na imara katika nafasi zao

Tukibeba vibaya maana ya ukweli ya haki sawa tutaishia kutengeneza jamii sio tuu ya wanaume wa ajabuajabu bali hata wanawake wa ajabuajabu

View attachment 2392857


Muwe na jioni njema
Cc Makiseo, Rebecca, n.k.

Kiujumla huo utaratibu ndiyo chachu kubwa haswa ya ndoa nyingi kuvunjika, mfano ni Ulaya ambapo 60% ya ndoa za mikataba zimetaradadi sana.
 
Kuna siku nilikuwa nawaambia wanawake kuwa kama wanapenda haki sawa basi wasiolewe

Kwenye ndoa hakunaga haki sawa,mwanamke lazima ukubali kuwa abiria

Mwanamke Unatafuta haki sawa halafu unakutana na mwanaume kalegeaaaa badala wewe ndio udeke anadeka yeye🤣🤣🤣

Utapata taabu utamchukia utamwita majina yote lakini wewe mwenyewe ndio chanzo
 
Tatizo wapumbavu fulani huko kweny mitandaoya kijamii wanawadanganya haki sawa kisa wamesoma nje na wanajua kingereza ...ila wanakuja kuzeeka utawasahau . Elimu hazijawasaidia kabisa hamna haki sawa ndani ya ndoa.
 
Sasa washauri wenu ni hawa walioachika kwenye ndoa saba, eti wanajiita super woman Sasa unategemea nini?

Hivi Joyce Karia naye ni mshauri wa wanawake unategemea kizazi gani hapo?

Wakushauriwa sio sisi buana
Unatukosea☺☺☺
 
Tatizo wapumbavu fulani huko kweny mitandaoya kijamii wanawadanganya haki sawa kisa wamesoma nje na wanajua kingereza ...ila wanakuja kuzeeka utawasahau . Elimu hazijawasaidia kabisa hamna haki sawa ndani ya ndoa.

Tatizo ni kushabikia kampeni tusizojua maana yake
 
Wanawake tushtuke, kwa asili ya mwanadamu kiimani, kisayansi na kwa desturi mwanaume ni msingi na nguzo ya familia

Wanawake tuendelee kupambana kuwa bora kama wanawake ila tusitamani kuwa wanaume; bali tuwasaidie wanaume kuwa bora zaidi na imara katika nafasi zao

Tukibeba vibaya maana ya ukweli ya haki sawa tutaishia kutengeneza jamii sio tuu ya wanaume wa ajabuajabu bali hata wanawake wa ajabuajabu

View attachment 2392857


Muwe na jioni njema
Umenena vyema. Maana wanawake wengine wanataka tuwe kama wao
IMG-20221020-WA0064.jpg
 
Cc Makiseo, Rebecca, n.k.

Kiujumla huo utaratibu ndiyo chachu kubwa haswa ya ndoa nyingi kuvunjika, mfano ni Ulaya ambapo 60% ya ndoa za mikataba zimetaradadi sana.
siyo ulaya tu, hata Tanzania ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu ya jambo hili
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom