Haji Manara: Bandari ya Dar es Salaam ni ya waarabu toka enzi na haituhusu

Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.
Hebu tuheshimishe jf na kuacha kuquote wagonjwa wa akili
 

Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.

Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.

Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
Na ukitaka kujua uwezo wa akili ya mtanzania ,pita humu mitandaoni
 
Bahati mbaya iliyolikumba taifa letu ni kwamba wajinga na wenye matatizo ya akili ndio wanaopewa airtime kuliko wenye weledi......

Imagine watu kama hawa kina Manara, Baba Levo ndio wanaosimama kujibu na kutetea mambo ya kitaalamu yanayoamua hatima ya taifa letu.......

Tunaunda taifa la watu wajinga......
 
Mwenye akili Yanga ni Mzee Kikwete na Sunday Manara wengine wote fyatu. Sasa unategemea nini kutoka kwa fyatu kama Haji
 
Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.

Alichoandika Haji Manara
Yeye anamjlikj ninj sasa maana Tanganyika ni ya mjeruman .mipaka yote na ukubwa wote wa Tanganyika ni màli ya German
 

Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.

Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.

Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
Bahati mbaya sana, hata viongozi wetu ni wajinga sana
 
Kwa hiyo kwako wewe unahisi Shivji ana akili kuliko Diamond au? Kuwa na degrees siyo kwamba una akili. Ni kwamba ulielekeza akili zako kuzipata. Na hilo tu mkuu.
Mkuu, wewe ni miongoni mwa hao wajinga niliowazungumza kwenye ujumbe wangu. Kama umesoma ujumbe wangu na ukaja na hii reply basi una matatizo makubwa sana kwenye uelewa wako.

Kwako wewe unaamini Prof. Shivji na Diamond wana uelewa sawa kwenye sheria za mikataba?
 
Ikulu ya Dar ni ya wakoloni waje waichukue walijenga kwa pesa zao asilimia 100

Reli ya kati na kaskazini yote waje wachukue wao ndio walijenga kwa pesa zao

Mashamba yote ya pamba,chai,Kahawa waachiwe wao ndio walileta hayo mazao kwa gharama zao kwa ajili yao nk

Elimu yote yao wapewe wao

Yote tunasoma ni yao walilleta wapewe wao turudi maporini

Na nguo tunavaa wao ndio walileta ikiwemo kanzu na hijabu tuwarudishie tutokomee maporini uchi tukaendelee kuvaa magome ya miti
Na dini
 
Kwa hiyo kwako wewe unahisi Shivji ana akili kuliko Diamond au? Kuwa na degrees siyo kwamba una akili. Ni kwamba ulielekeza akili zako kuzipata. Na hilo tu mkuu.
Hakuongele nani ana akili zaidi ya mwenzie!
Unateseka ukiwa wapi??
 
Huyu ndio kaongea mataqo kabisa. Yanga ukimix CCM unapata kitu cha ajabu sana
Huyo ni Simba wenu, pale Yanga amepewa hifadhi tu kama Mkimbizi aliyemkimbia Barbara na MO pale Simba.
Muda wowote kuanzia sasa anarudi kwenye Chama lake ili muendelee kujumuika na kufurahia naye, ninyo ni Dugu Moya.
 
Bahati mbaya iliyolikumba taifa letu ni kwamba wajinga na wenye matatizo ya akili ndio wanaopewa airtime kuliko wenye weledi......

Imagine watu kama hawa kina Manara, Baba Levo ndio wanaosimama kujibu na kutetea mambo ya kitaalamu yanayoamua hatima ya taifa letu.......

Tunaunda taifa la watu wajinga......
Ujinga ni ugonjwa mbaya sana!
Ikitokea mzee ameanguka basi badala ya kumsaidia atazomewa na wengine kumjambisha....
 
Basi kama ni hivyo inabidi watoke pale misri watuachie kermet yetu sie wakushi
Hii mijitu kwa fikra zake ndo ile iiyowauza ndugu zao kwa utumwa. Na unafiki wao ndio waliofikisha bara la afrika hapa tulipo,
Haji manara, baba levo, mwijaku, masanja
Hii ni mifano ya watu wa hovyo kabisa kuwepo dunjani
Usitegemee kupata haki sehemu kuna watu wa aina hii a wawe karibu na bosi
Hawa hawawezi kukutetea mwa tatizo lolote hata kama wanajua hujakosa
Wao watapigilia msumari tena wa moto ukafie mbalj
Uwa hawajari maumivu kwa mtu mwingine
Selfish
 
Back
Top Bottom