Hebu tuheshimishe jf na kuacha kuquote wagonjwa wa akiliKada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;
" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."
Haji.
Walilelelwa na baba yao aliyewekwa madarakani na Muingereza na hii ndio hali
View attachment 2674617
Na ukitaka kujua uwezo wa akili ya mtanzania ,pita humu mitandaoni
Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.
Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.
Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
Yeye anamjlikj ninj sasa maana Tanganyika ni ya mjeruman .mipaka yote na ukubwa wote wa Tanganyika ni màli ya GermanKada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;
" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."
Haji.
Alichoandika Haji Manara
Bahati mbaya sana, hata viongozi wetu ni wajinga sana
Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.
Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.
Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
Kwa hiyo kwako wewe unahisi Shivji ana akili kuliko Diamond au? Kuwa na degrees siyo kwamba una akili. Ni kwamba ulielekeza akili zako kuzipata. Na hilo tu mkuu.
Wamelazimisha iwe hivyo. Hapa naona ndio limekaa vizuri zaidiHili swala la bandari naona imesha geuka kuwa vita ya WAISLAMU VS WAKRISTO na sio WANANCHI vs WAARABU
Unaanza lini na unaisha lini??Bangi najifukiza. Jwenye udi, sivuti.
Mkataba nimeusoma mara 100 kidogo. Upo vizuri sana.
Na diniIkulu ya Dar ni ya wakoloni waje waichukue walijenga kwa pesa zao asilimia 100
Reli ya kati na kaskazini yote waje wachukue wao ndio walijenga kwa pesa zao
Mashamba yote ya pamba,chai,Kahawa waachiwe wao ndio walileta hayo mazao kwa gharama zao kwa ajili yao nk
Elimu yote yao wapewe wao
Yote tunasoma ni yao walilleta wapewe wao turudi maporini
Na nguo tunavaa wao ndio walileta ikiwemo kanzu na hijabu tuwarudishie tutokomee maporini uchi tukaendelee kuvaa magome ya miti
Hakuongele nani ana akili zaidi ya mwenzie!Kwa hiyo kwako wewe unahisi Shivji ana akili kuliko Diamond au? Kuwa na degrees siyo kwamba una akili. Ni kwamba ulielekeza akili zako kuzipata. Na hilo tu mkuu.
Huyo ni Simba wenu, pale Yanga amepewa hifadhi tu kama Mkimbizi aliyemkimbia Barbara na MO pale Simba.Huyu ndio kaongea mataqo kabisa. Yanga ukimix CCM unapata kitu cha ajabu sana
Ujinga ni ugonjwa mbaya sana!Bahati mbaya iliyolikumba taifa letu ni kwamba wajinga na wenye matatizo ya akili ndio wanaopewa airtime kuliko wenye weledi......
Imagine watu kama hawa kina Manara, Baba Levo ndio wanaosimama kujibu na kutetea mambo ya kitaalamu yanayoamua hatima ya taifa letu.......
Tunaunda taifa la watu wajinga......