cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Wee best sasa kwa manara kuna mwanamke anasema ni "mume wangu" na ana maanishaaa?Ila rushyna mkorofi na kibri sana bwana
Sio wife material kabisa.
Kiafrica ukitaka ndoa na hyo ndoa idumu lazima mwanamke u surrender baadhi ya haki zako...na pia kutimiza wajibu flani flani.
Tena ashukuru hata dubai alikuwa anapelekwa...wengine hata kwenye chips za mgosi hapelekwi na bado matusi na kipigo juu.







Hapanaaaaa





.