funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
Unahitaji Rais bold kupambana katika nyakati hizi za vita kali za kiuchumi duniani ikiongozwa na ile vita ya UKRAINE.
Serikali nyingi zimeangushwa kama after effect ya vita kali ya kugombea rasilimali huko UKRAINE.
Ukiwa na jicho la kingwini basi huwezi kutambua ni namna gani vita inayoitwa special operation in Ukraine inaweza kuathiri uchumi na siasa katika mataifa mbalimbali duniani.
Nchi kama Tanzania huwekwa kwenye wakati mgumu sana na wenye athari inapotokea vita hizi kali za kijografia,kihistoria na kiuchimi.
Itoshe kusema kuwa niwapongeze vyombo vyote vya Usalama na ulinzi kwa kuichambua hali hii na kukabiliana nayo viluvyo.
Basi wito wa watanzania wazalendo ni kuwapa moyo na morali ili muendelee kuipigana kwa weledi mkubwa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Serikali nyingi zimeangushwa kama after effect ya vita kali ya kugombea rasilimali huko UKRAINE.
Ukiwa na jicho la kingwini basi huwezi kutambua ni namna gani vita inayoitwa special operation in Ukraine inaweza kuathiri uchumi na siasa katika mataifa mbalimbali duniani.
Nchi kama Tanzania huwekwa kwenye wakati mgumu sana na wenye athari inapotokea vita hizi kali za kijografia,kihistoria na kiuchimi.
Itoshe kusema kuwa niwapongeze vyombo vyote vya Usalama na ulinzi kwa kuichambua hali hii na kukabiliana nayo viluvyo.
Basi wito wa watanzania wazalendo ni kuwapa moyo na morali ili muendelee kuipigana kwa weledi mkubwa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!